This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

Saturday, December 28, 2013

MKE AKATWA MAPANGA, HAWARA ATAJWA

Stori: Timoth Itembe, TARIME MAMA mmoja mkazi wa Ronsoti, Kata ya Nyamisangura, wilayani hapa, Eliza Marwa,28, hivi karibuni amenusurika kuuawa na mumewe, baada ya majirani kufika kumuokoa kutokana na kukatwakatwa mapanga. Mariamu akiugulia maumivu. Mama huyo aliliambia gazeti hili akiwa katika Hospitali ya Wilaya Bomani, Tarime kuwa mume wake Marwa Ogora alimkatakata mapanga baada ya kumtuhumu kuwa akikwenda kwa hawara yake badala ya...

Saturday, December 7, 2013

UPEPO MKALI WAEZUA PAA LA SHULE YA MSINGI LUGANGA

Wanafunzi wa shule ya msingi Luganga kata ya Ilolompya Tarafa ya Pawaga Mkoa wa Iringa, wakiangalia sehemu ya paa la chumba cha darasa lililo ezuliwa na upepo mkali hivi karibuni. Nyumba ya Mwalimu Wanafunzi wa Shule ya Msingi Luganga wakicheza nje ya Darasa lililo ezuliwa Wanafunzi Shule ya msingi Luganga wakiendelea na Masomo ndani ya Darasa lililo ezuliwa na Upepo mkali...
 Raia wa Afrika Kusini wako kwenye maombolezo kwa siku ya pili hii leo wakiwa kwenye mkesha kwa usiku nzima kwa ajili ya kuomboleza mpendwa wao Kiongozi wa zamani wa taifa hilo Nelson Mandela, aliyeaga dunia siku ya Alhamisi akiwa na umri wa miaka 95. Watu wamekuwa wakikumbuka mema yake , wakicheza na kuimba Mbele ya makazi yake ya zamani mjini Soweto. Taarifa zinazohusiana Katika mkutano...

KINANA AZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI PORINI, AOMBOLEZA KIFO CHA NELSON MANDELA

Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kusimama njiani akitokea wilayani Makete akielekea wilayani Wanging"ombe, katika ziara yake maalum ya Mkoa wa Njombe kuhusu Chama cha Mapinduzi kilivyopokea kifo cha mpigania uhuru wa Afrika Kusini na mtu aliyeheshimiwa sana duniani Mzee Nelson Mandela kama alivyojulikana kama "Madiba" aliyefariki dunia usiku wa kuamkia leo ijumaa...

AIRTEL BINGWA KUFUNGUKIA MBAGALA ZAKHIEM LEO

Young killer Haya sasa mabingwa wote wa Airtel bingwa  kula bata pamoja wikiendi hii Mbagala. Kama wewe ni bingwa wa kusakata kabumbu na kuonyesha umahili wa kumiliki mpira njoo leo tuonyeshe jumamosi hii MBAGALA ZAKHIEM kuanzia saa sita mchana mpaka saa 12 na nusu zawadi kibao kutolewa jezi, tisheti.Wasanii watakaopanda stajini ni Ney wa Mitego, Young killer  na Vinoko shackers ,Pia wadada… Huku tukishuhudia draw ya Mimi Bingwa...

Saturday, September 28, 2013

Rais Kikwete ahutubia Umoja wa Mataifa New York

  Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia kikao cha 68 cha Baraza kuu la Umoja wa Mataifa leo jijini New York Marekani.   Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja  na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban- Ki- Moon ofisini kwake. Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikutana na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban- Ki- Moon ofisini kwake muda mfupi kabla ya kuhutubia kikao cha 68 cha Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa jijini...

MKE WA RAIS MAMA SALMA KIKWETE AZURU NEBRASKA NCHINI MAREKANI

Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo,WAMA, Mama Salma Kikwete akipokewa na Founder, Benefactor and Chief Executive Officer wa Taasisi ya Opportunity Education Bwana Joe Ricketts kwenye uwanja wa ndege katika mji wa Omaha uliopo katika Jimbo la Nebraska nchini Marekani tarehe 27.9.2013 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akipokea ua kutoka kwa binti Kate Stephens, 7, mara baada ya Mama Salma kutua kwenye uwanja wa ndege...

MBUNGE MSIGWA AMPONGEZA RAIS KIKWETE KWA MKAKATI WAKE WA KUPAMBANA NA UJANGILI , ASEMA YUPO TAYARI KUWATAJA WANAOTUMIA AMBULENCE KUSAFIRISHA PEMBE ZA NDOVU IRINGA

Mwenyekiti wa MANET Bw  Zuberi Mwachura  kulia  akieleza mkakati  wa  kupambana na vitendo vya ujangili katika  hifadhi ya taifa  ya  Ruaha  leo Mbunge  wa  jimbo la  Iringa mjini mchungaji Peter Msigwa akifafanua  jambo Mgeni  rasmi  katika warsha ya  siku  moja ya  kujadili  vitendo  vya ujangili katika  hifadhi...

Ulimboka, Costa na Pawasa wachambua uchezaji Simba

WACHEZAJI waliojijengea heshima kubwa wakati wakiichezea Simba wametamka maneno ya moyoni kuhusiana na mwenendo wa timu hiyo. Wachezaji hao ni Boniface Pawasa, Victor Costa, Selemani Matola na Ulimboka Mwakingwe lakini kocha Talib Hilal alipowasikia naye akaongeza neno. Pawasa ambaye alikuwa beki kisiki alisema: “Kikosi bado kinahitaji kurekebishwa hasa kwenye kombinesheni ya mabeki na ushambuliaji bado hapako sawa sana. Nafikiri baada...

RECHO ATUPIA NUSU UTUPU

 MSANII wa filamu za kibongo, Rachel Haule ‘Recho’ hivi karibuni aligeuka kituko baada ya kutupia picha ya nusu utupu katika mtandao wa kijamii. Picha hiyo ambayo Recho amevaa shati tupu (inayoonesha ndani) bila kuvaa kitu kingine chochote, aliitupia kwenye mtandao wa kijamii wa Instagram ambapo mashabiki na marafiki zake walichangia huku wakimlaumu kuwa hakufanya vizuri kuiweka picha hiyo ya aibu mtandaoni. Paparazi wetu alimuuliza Recho...

MAADHIMISHO YA MIAKA 18 YA KITUO CHA SHERIA NA HAKI ZA BINADAMU YAFANYIKA DAR

Dr. Ringo Tenga ambaye ni mmoja wa waasisi wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), akielezea historia ya kituo hicho. (wa kwanza kulia) ni Sengodo Mvungi ambaye pia ni muasisi wa kituo hicho. Kwaya iitwayo Mwalusanya inayoundwa na wafanyakazi wa kituo hicho, ikitumbuiza wakati wa maadhimisho hayo.… Dr. Ringo Tenga ambaye ni mmoja wa waasisi wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), akielezea historia ya kituo hicho. (wa...