Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya
walipokutana wakati wa mkutano na sherehe za kuadhimisha miaka 50 ya
Umoja wa Afrika (AU) jijini Addis Ababa, Ethiopia.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimtambulisha Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya kwa Balozi mpya wa Tanzania nchini Marekani Mh…
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya
walipokutana wakati wa mkutano na sherehe za kuadhimisha miaka 50 ya
Umoja wa Afrika (AU) jijini Addis Ababa, Ethiopia.
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akimtambulisha Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya kwa
Balozi mpya wa Tanzania nchini Marekani Mh Liberata Mulamula
walipokutana wakati wa mkutano na sherehe za kuadhimisha miaka 50 ya
Umoja wa Afrika (AU) jijini Addis Ababa, Ethiopia.
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha kwa mazungumzo Mkurugenzi Mtendaji
wa UNAIDS Michel Sidibe walipokutana na kufanya mazungumzo pembeni ya
mkutano na sherehe za kuadhimisha miaka 50 ya Umoja wa Afrika (AU)
katika makao makuu ya Umoja huo jijini Addis Ababa, Ethiopia.
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika mazungumzo Mkurugenzi Mtendaji wa
UNAIDS Michel Sidibe na ujumbe wake walipokutana pembeni ya mkutano na
sherehe za kuadhimisha miaka 50 ya Umoja wa Afrika (AU) katika makao
makuu ya Umoja huo jijini Addis Ababa, Ethiopia.
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Mkurugenzi Mtendaji wa UNAIDS Michel
Sidibe pamoja na Mratibu wa Masuala ya Ukimwi wa Marekani Balozi Eric
Goosby walipokutana na kufanya mazungumzo pembeni ya mkutano na sherehe
za kuadhimisha miaka 50 ya Umoja wa Afrika (AU) katika makao makuu ya
Umoja huo jijini Addis Ababa, Ethiopia.
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha Waziri Mkuu wa Jamaica Bi. Portia
Simpson Miller walipokutana na kufanya mazungumzo pembeni ya mkutano na
sherehe za kuadhimisha miaka 50 ya Umoja wa Afrika (AU) katika makao
makuu ya Umoja huo jijini Addis Ababa, Ethiopia.
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akimsindikiza Waziri Mkuu wa Jamaica Bi. Portia
Simpson Miller walipokutana na kufanya mazungumzo pembeni ya mkutano na
sherehe za kuadhimisha miaka 50 ya Umoja wa Afrika (AU) katika makao
makuu ya Umoja huo jijini Addis Ababa, Ethiopia.
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akimtambulishaWaziri Mkuu wa Jamaica Bi. Portia
Simpson Miller kwa Mhe Gideon Moi, Seneta wa Kaunti ya Baringo nchini
kenya na ambaye pia ni Mwenyekiti wa chama cha KANU cha nchi hiyo
walipokutana pembeni ya mkutano na sherehe za kuadhimisha miaka 50 ya
Umoja wa Afrika (AU) katika makao makuu ya Umoja huo jijini Addis Ababa,
Ethiopia.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEidLCXaOtO6xxu6_xFv9QhBqw9v8vEPL_DYJnFofPM4d6vm7k3S6glH9wx8ZJkUYlLcKIUq5g6WFAvGWzkCN1jKV0i_OvlNEXn2wvojEMj3fFDMr03gnoTNfoiebYM7wO3VMbRBO3K3-_8/s640/ad3.jpg)
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgX-8NGlTlLib8vi93KZE11oSvJ1-wgU1Ai2Y_UIW86QE6WOCr7A2P7N4iabqAh0ImVy7TW6OrX62XeR4l5eNme4jv_39UA3FfqqgtButT-a4P3JEmqw7NJKnKbhDgTz7VaKuwwuzZQwDg/s640/ad4.jpg)
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Misri
Mohamed Morsi walipokutana wakati wa mkutano na sherehe za kuadhimisha
miaka 50 ya Umoja wa Afrika (AU) katika makao makuu ya Umoja huo jijini
Addis Ababa, Ethiopia.
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akishiriki katika Mkutano wa kawaida wa 21 wa
Umoja wa Afrika katika makao makuu ya Umoja huo jijini Addis Ababa,
Ethiopia.
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akifanya mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji wa
taaisi ya kimataifa inayoshughulikia mapambano dhidi ya Ukimwei, Kifua
Kikuu na Malaria ya The Global Fund Dkt Mark Dybil na afisa wa taasisi
hiyo Bi Shu-shu Tekle-Haimanot walipokutana na kufanya mazungumzo
pembeni ya mkutano na sherehe za kuadhimisha miaka 50 ya Umoja wa Afrika
(AU) katika makao makuu ya Umoja huo jijini Addis Ababa, Ethiopia.
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akifanya mazungumzo na Katibu Mtendaji wa Nchi za
Maziwa Makuu (ICGLR) professor Ntumba Luaba na ujumbe wake walipokutana
na kufanya mazungumzo pembeni ya mkutano na sherehe za kuadhimisha
miaka 50 ya Umoja wa Afrika (AU) katika makao makuu ya Umoja huo jijini
Addis Ababa, Ethiopia.
(PICHA ZOTE NA IKULU)