Kwa mujibu wa watu waliokuwa eneo la tukio wakati ajali hiyo ikitokea, wamesema kuwa mwanafunzi huyo alikuwa ndani ya Bajaj pamoja na wenzake wawili wakielekea shuleni Makongo ambapo walikutana uso kwa uso na lori kisha kumrusha na kutokea upande wa pili
This is default featured slide 1 title
Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.
This is default featured slide 2 title
Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.
This is default featured slide 3 title
Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.
This is default featured slide 4 title
Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.
This is default featured slide 5 title
Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.
Saturday, March 29, 2014
AJALI MBAYA: MWANAFUNZI MAKONGO AFARIKI KATIKA AJALI YA BAJAJ NA LORI
Kwa mujibu wa watu waliokuwa eneo la tukio wakati ajali hiyo ikitokea, wamesema kuwa mwanafunzi huyo alikuwa ndani ya Bajaj pamoja na wenzake wawili wakielekea shuleni Makongo ambapo walikutana uso kwa uso na lori kisha kumrusha na kutokea upande wa pili
AIBU: DENTI WA KIKE MWANACHUO AVULIWA NGUO HOSTEL BAADA YA KUIBA SIMU AINA YA BLACKBERRY
tanamaa zinazidi kuwaponza dada zetu siku hizi, binti mmoja huko nigeria amejikuta matatani baada ya vidume kumsaula nguo zote baada ya kuiba simu ya mwenzake wanaelala nae chumba kimoja,
MWALIMU ANASWA LIVE AKIJIUZA MBAGALA DAR...!JIONEE MWENYEWE HAPA
Chanzo hicho kilimwaga data kuwa, kuna mzee maarufu kwa jina la babu katika eneo hilo ambaye amekuwa akiwapa machangudoa hifadhi katika banda lake na kuwapa magodoro chakavu kwa malipo ya shilingi elfu moja kwa kila kichwa.
KISIKIE CHANZO
“Jamani kwenye danguro hili kila aina ya uchafu upo. Wanatukwaza sisi Wakristo ambao tupo katika kipindi hiki cha Kwaresma,” kilitiririka chanzo hicho cha kuaminika maeneo hayo.
OFM KAZINI
Ili kujiridhisha na taarifa hizo, makamanda wawili wa OFM walitimba katika danguro hilo wakajifanya wateja ambapo walimchukua mmoja na kubaini kuwa ni mwalimu wa shule ya msingi.
TUJIUNGE NA CHANGU MWALIMU
“Kaka ongea fasta nipe changu, usinione hivi mimi ni mwalimu wa msingi, mshahara haukidhi halafu isitoshe serikali haijatulipa malimbikizo yetu, watulipe bwana pengine tunaweza kujikwamua,” alisema changu huyo ambaye alimtaka kamanda wa OFM alipie shilingi elfu kumi kama malipo ya huduma tendo moja.
POLISI WAITWA
Baada ya kujiridhisha kwa uwepo wa biashara hiyo, OFM waliwapigia simu polisi wa Kituo cha Kizuiani, wakafika na kufanikisha zoezi la kuwakamata machangu wapatao 16 pamoja na babu anayewapa hifadhi ili wauze miili.
VIBANDA KIBAO VYABAINIKA
Wakati zoezi la kuwakamata likiendelea maeneo hayo, vilibainika vibanda vingi ambavyo machangu hao hufanyia uchafu wao pamoja na mfuko mkubwa ambao madadapoa hao huhifadhia nguo zao za heshima kabla hawajaingia ‘mzigoni’.
Baadhi ya machangudoa hao waliotiwa mikononi mwa polisi, walikiri kuwa wamewaacha watoto wao nyumbani huku wengine wakidai ni wake za watu hivyo kuomba wasipigwe picha kukwepa aibu pindi zitakapochapishwa gazetini.
“Jamani msitupige picha sisi wengine tuna watoto na waume zetu, tunaomba msamaha jamani,” walisikika madadapoa hao.
Baada ya kamatakamata kukamilika, machangu hao pamoja na mzee huyo walipandishwa kwenye difenda la polisi na kupelekwa katika Kituo cha Polisi Kizuiani kwa ajili ya uchunguzi zaidi kabla ya kufikishwa Mahakama ya Jiji kujibu mashitaka ya uzururaji.
HIVI NDIVYO VYAKULA 10 AMBAVYO MWANAUME ANATAKIWA KULA ILI KUONGEZA UWEZO WAKATI WA TENDO LA NDOA.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiKBEuEa_Vm8HdK8d3ALZm1HbG6lnx4aNrSQNx-xpRQ1fRwK9BZab8jxMTkTNEVEq2vo111DMuS4gmObRJUyeEM4Ia16TR0Ru2MxhUBZmw49kTgIbCqhc-Zo_eVf3uSztZXFDfUtQlnFaQ/s400/prog.jpg)
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhsXLkhTINiIdidLpR25aaPFNqIAivJcOKbkuDX_2ETiyu-mesDRcUW3BUhodPqBP_hl9n3COCruMkYMRv8yUklTVapZDvEnPLZbFQIXsts7x-RlN6d5kRISTLu-Q_J9zVmBoNpZAmpbvQ/s400/1.jpg)
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgdNSjf-2vKBOdt9RSmSW_SS7oGCBmOqtAUOtmyWS127BlcCs_8wqPgI00wy3-MbOSlDXpIgLyqwdeJZfpnDNH9k-D08cS8cE6x5hHZ7njcFIuEJ5HXo4ehEx-UhUIxYK5-U1Gc7KwHhr0/s400/pili.jpg)
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgVUl0YYxcy7a5mnvhbDPS0zH2YZyPj3fQ_pcDlBaKbpEFAeIfqnEz8XSIWGVHUEfirWt4-eFKWmCzjsvpJH6CM4N4tpTkEbCAiKVQDu4eUHz9a-YGct3IMfYdrslsCF3Gkg8mtO368uyU/s400/ova.jpg)
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjAAgxrR15T9LPL3VDeUqXO2AoskWrb3trl_kC0T5KtwVTRcd9cga5fNc1q886U6sscZrrWSmcemxfX_OSqAFmLYjYgUPiIfXvIuYWmlTNSE19YhQhROiRTlCVf5iSiKcJS4fFxoPbPiGQ/s400/banana.jpg)
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi-KyKaXIZFB3Yv0z3b_k6LUaoPzCAARogPQTaHqoLN9gQVjEKiB6_DJzPOe-aJbgi0ZrGOJjCTpbUsbJxFkUGCeSQqCwXuzrD7lc_diPa7wxY8WvWRH64Dxp0WwUtlOGxRgIwB_TqtFcA/s400/choxh.jpg)
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjaZy15A4FCScBGrXKYDVLISpWdzfSxGGu76osQ-0a-FiyUweTiXDI8TniWSua1A9GpxpJ-i09pbZCQDTD2lZizeikuUNkxuEVROjoyLYFgK7aqpafcvXmcNqTBYa6FNp0X_SqpcUh0Pm8/s400/mvinuo.jpg)
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiFRRZw5LE9wdmjueg00Qte6JzaQSwfK-iH2j_Ebn1Hi1jvD29ADK8KqzZGKvQcMkzFpFbEH2FDRwFdRHXh0l5DjyoBULe1x_RLFSJm3qCBru7FCx73SxkeMeWMeHJ0udPs9V4YXv_CaZg/s400/seeds.jpg)
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjLbW-ojHvYA_X7nAiqlUdVUPqD3o9pgGUZhaXbrpWsJFkTH6GvHQUMjfETcZb_-mGHK5bXixYlZYRGcazodyEdQY6msumShgDoRSMVk0WYDnNJsA-Jb22Kkz6PM4JEIOlV403KRpNUuAE/s400/vanilla.jpg)
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhZu066KH5smkCAdMWwingd1FDPSeAgGzbAwMn0CKlIVZc61oG79tPk0n-JyCtRZoCn6vtY1yBlw_Gbc9jGMfQKfgjPZNavb6dTlQXd63GnyPM2I3caDD3BIx_7b26AaIUR4napBA7JniA/s400/tikimaj.jpg)
RAIS JAKAYA KIKWETE AMESEMA NITAVUNJA BUNGE LA KATIBA NA KUENDELEA NA KATIBA YA ZAMANI KAMA WAJUMBE AWATAACHA FUJO
RAIS Jakaya Kikwete amesema kama mchakato wa upatikanaji Katiba Mpya utakwama kwa namna yoyote, Katiba iliyopo sasa itafanyiwa marekebisho na kuendelea kutumika.