This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

Wednesday, July 31, 2013

MBUNGE WENJE ATUHUMIWA KWA UTAPELI MWINGINE WA HARAMBEE NAYE MBUNGE LAMECK AMTAKA ASHINDANE NAYE KWA VITENDO NA SIYO MATUSI JUKWAANI

Mbunge wa Rorya Mhe. Lameck Airo akizungumza na vyombo mbalimbali vya habari jijini Mwanza akimtaka Mbunge wa Nyamagana Mhe. Ezekiel Wenje, kushindana naye kwa kuwaletea wananchi maendeleo na siyo matusi jukwaani. MBUNGE wa Jimbo la Rorya Mkoani Mara Lameck Airo (La-Kairo) amesikitishwa na kitendo cha Mbunge wa Jimbo la Nyamagana Ezekiel Wenje kumtapeli kiasi cha fedha shilingi milioni moja alizozitoa ili zikatangazwe kama sehemu...

MIKUTANO WA MSTAHIKI MEYA WA JIJI LA MWANZA NA WANANCHI WA MTAA WA MALIMBE WATOA SULUHISHO KWA KERO ZAO

Mstahiki Meya wa jiji la Mwanza  ambaye pia ni diwani wa kata ya Mkolani (wa pili kutoka kushoto) akisikiliza kero za wananchi wa mtaa wa Malimbe ikiwa ni sehemu ya utaratibu aliouweka kufanya mikutano ya kila mara katika maeneo ya kata yake, wengine katika picha kushoto kabisa ni Mwenyekiti wa Mtaa Bi Zenaida Musiba, Mtendaji wa kata ya Mkolani Evarist Mtaki, Afisa Ardhi Idara ya Urasimishaji Makazi holela jijila Mwanza Bw. Maduhu...
KUFUATIA kutupiwa skendo za kuhusika na usafirishaji wa madawa ya kulevya nje ya nchi, Mbunge wa Kinondoni jijini Dar, Idd Azzan ametinga polisi Julai 29, mwaka huu na kuwataka wamchunguze kwa kina. Madawa ya kulevya. Kwa mujibu wa chanzo chetu, Idd Azzan alifika katika Kituo Kikuu cha Polisi Posta jijini Dar na kukutana na Kamanda wa Kanda Maalumu, Kamishna, Suleiman Kova. “Kikubwa Azzan amemwambia Kova kwamba anataka...

ROSE NDAUKA ANASWA AKIPAPASWA NDANI YA GARI KABLA YA KUPELEKWA HOTELINI

  Rose Ndauka  au  Aisha  anaweza  kuwa  ameitia  najisi  funga  yake  baada  ya  kunaswa akiingia  hotel  moja   iliyoko  kinondoni  jijini  Dar  kwa  kile  kilichoelezwa  ni  kwenda  kuivunja  amri  ya  sita  na  mwanamziki wa  bongo  fleva  Nassoro  Ayoub  "Nasry"  ...

SHEIKH PONDA ISSA PONDA APENDEKEZWA KUGOMBEA URAIS MWAKA 2015

Ikiwa  imebakia  miaka  miwili  kabla  ya  kufanyika  kwa  uchaguzi  mkuu wa  Rais  na  wabunge  hapa  nchini,baadhi  ya  waumini  wa  kiislamu  wameanza  kupendekeza  wagombea  wa  urais  wanaoona  kuwa wanafaa  ambapo  jina  la Sheikh  Ponda Issa Ponda  limeongoza.... Mapendekezo  ...

AGNESS MASOGANGE AMPONZA MADEE NA KUSABABSHA AVULIWE NGUO AIRPORT

Kwenye Exclusive interview na millardayo , Madee amehadithia kila kitu kilichomtokea wakati anaingia tu Afrika Kusini siku kadhaa zilizopita ambapo hii imetokea kutokana na ukubwa wa habari, uzito wa tukio la wale Watanzania wawili wasichana (Akina Masogange )  waliokamatwa kwenye kiwanja cha ndege Johannesburg wakiwa na dawa za kulevya wakitokea Tanzania. Madee anakwambia alipotua kwenye kiwanja cha ndege, kawaida huwa kuna ...