This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

Saturday, April 20, 2013

WAREMBO WAGOMBEA KUMPA NAMBA MZUNGU...

    Otilia Boniface kulia na Janeth Tingisha Wanenguaji wa Bendi ya Extra Bongo, Otilia Boniface na Janeth Tingisha mwishoni mwa wiki iliyopita walitoa kali ya mwaka baada ya kutaka kutwangana makonde wakigombea kutoa namba zao za simu kwa buzi la Kizungu. Tukio hilo lilitokea ndani ya Ukumbi wa Meeda uliopo Sinza jijini Dar ambapo awali Mzungu huyo alivutiwa na wadada hao hivyo kuwafuata na kuomba namba ya simu ya mmoja wao. Kufuatia...

SPIKA WA BUNGE AWAKAANGA TENA WALE WABUNGE WALIOTIMULIWA BUNGENI.....

Leo asubuhi baada ya kipindi cha maswali na majibu Mh Spika ametoa uamuzi kuhusu muongozo ulioombwa na Kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni kuhusu uhalali wa kutolewa nje na kisha kufungiwa vikao vitano kwa wabunge sita (6) wa Chadema uliotolewa juzi na Naibu Spika.  Mh Spika anasema kwa kuwa kwa sasa hakuna kanuni kuhusu jambo hilo uamuzi wa Naibu spika utabaki halali na utaingizwa kwenye kumbukumbu za bunge ...

MWANAMZIKI ARUHUSU MASHABIKI WAMSHIKE NYETI ZAKE AKIWA JUKWAANI

Hii  ni  picha  ya  mwanamziki wa nchini Uganda.   Kama  kawaida, mziki  una  mizuka  mingi  na  ni lazima  msanii  alitawale  jukwaa....   Hali  ilikuwa  tofauti  kwa  mrembo  huyu....Akiwa  katika  jitihada  zake  za  kmwaga  buruduni  kwa  staili  ya  kulitawala  jukwaa, msanii ...

DARASA LA SABA SASA KUJIUNGA NA VYUO VIKUU NCHINI

Tume ya Vyuo Vikuu Nchini (TCU), imepanga kuanza kuwadahili wanafunzi wa kujiunga na masomo ya vyuo vikuu kwa kutumia uzoefu wao. Udahili huo utakaoanza mwaka huu wa masomo 2013/14, utakuwa ukiwahusisha wale ambao elimu yao imeishia darasa la saba na kuendelea, lakini walikosa sifa ya kuendelea na masomo kwa ngazi ya chuo kikuu. Kupitia utaratibu huo mpya, mtahiniwa atajiunga na Chuo Kikuu kulingana na fani atakayoiomba na atatakiwa kufanya mitihani mitatu na kufaulu kwa wastani wa daraja B. Mkurugenzi wa Ithibati na Ubora wa Elimu ya Juu...

Airtel Money Yaendeleza udhamini wake katika semina ya wapiga picha wa vyombo 15 vya habari nchini

Meneja wa Airtel Money Asupya Nalingigwa (kushoto) akiongea na waandishi wa habari wapiga katika semina ya upigaji picha iliyofanyika jijini Dar Es Salaam, akifuatiwa ni Afisa uhusisano na matukio wa Airtel Dangio Kaniki na Muhadhiri wa Chuo Kikuu Richard Ndunguru. Waandishi wa habari waliohudhuria semina ya ya upigaji picha iliyodhaminiwa na kampuni ya simu ya Airtel jijini Dar Es Salaam. Kampuni ya simu ya mkononi ya Airtel kupitia huduma… Waandishi...

FID Q; AFUNGUKIA ALIVYOFANYA KAZI NA BI. KIDUDE

Stori:Chande Abdallah na IssaKwisa MponiWIKI iliyopita kwenye safu hii ya Funguka na Risasi tulikuwa naye mwigizaji Jacqueline Pentzel ‘Jack wa Chuz’ ambaye alifungukia ndoa yake na kashfa yake ya kujiuza. Fid Q akiwa na Bi kidude enzi za uhai wake ...akiwa katika mazishi ya Bi Kidude...

ROSE NDAUKA AWATEGA MADENTI

STAA mwenye mvuto wa kipekee kwenye ‘industry’ ya filamu Bongo, Rose Ndauka hivi karibuni alitinga kivazi kifupi ambacho kiliwachengua madenti wa Chuo cha Uandishi wa Habari Dar es Salaam (DSJ) ambao walibaki kumkodolea macho mwanzo mwisho. Mpango mzima ulitokea Aprili 13, mwaka huu katika Ufukwe wa Belinda, jijini Dar wakati mwanadafada huyo alipokuwa amealikwa katika sherehe za kuwakaribisha wanafunzi wapya wa chuo hicho.Kutokana na kivazi...