This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

Friday, September 13, 2013

HUYU NDIE DR FEKI ALIEKAMATWA KATIKA CHUMBA CHA UPASUAJI KCMC

...

RIPOTI YA (UNODC) YASEMA TANZANIA SASA NI KINARA DAWA ZA KULEVYA

*Umoja wa Mataifa wasema Tanga ni hatari *Yaongoza Afrika Mashariki ikifuatiwa na Kenya Na Mwandishi Wetu RIPOTI mpya ya Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kupambana na Mihadarati na Uhalifu (UNODC), imesema Tanzania ni kinara wa kupitisha dawa za kulevya katika nchi za Afrika Mashariki. Ripoti hiyo, imesema jumla ya tani 64 za dawa za kulevya aina ya Heroine, zilisafirishwa bila kukamatwa kwenda au kupitia Afrika Mashariki, ikiwamo...

Kesi ya Ruto na Sang yaanza ICC

      Naibu rais wa Kenya William Ruto pamoja na mshukiwa mwenzake Joshua Arap Sang wamesomewa mashtaka yanayowakabili katika mahakama ya kimataifa ya ICC 12:24 Wakili Stenberg ambaye anaendelea kuelezea mahakama kuhusu ushahidi wao amesema kuwa Ruto alisambaza silaha kwa vijana ambao wangefanya mashambulizi dhidi ya watu wa kabila hasimu waliokuwa wanaishi katika mkoa wa Rift Valley ...

NDOA YA H. BABA NA FLORA MVUNGI IMEJIBU.

Hatimaye ile ndoa iliyofungwa miezi michache iliyopita kati ya Super Star wa TAKEU Bongo Fleva H. Baba na mwigizaji maarufu nchini wa Bongo Movie mwanamama Flora Mvungi imejibu kwa wawili hao kupata mtoto wa kike.  Kwa mujibu wa Mwanamuziki huyo anayetoka familia ya 'MWANZA KWANZA', Leshontek  H. Baba anasema kuwa anaendelea kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa mkewe kujifungua salama mtoto wa kike ambaye tayari kesha mpa jina la Tanzanite,...

SHILOLE BALAAAAAAAA

MWENYEKITI wa Kamati ya Umoja wa Mashirikisho ya Sanaa Tanzania, Kimela Billa, ameutaka uongozi wa Shirikisho la Muziki Tanzania, kumchukulia hatua ya kinidhamu, msanii wa muziki wa mduara, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ kwa kosa la kukiuka maadili ya Tanzania katika tamasha la Serengeti Fiesta, mkoani Iringa. Shilole alipanda jukwaani akiwa anacheza wimbo wake wa ‘Nakomaa na jiji’ huku akiwa amevaa nguo ambazo zinaonesha...

NDOA YA MZEE MAJUTO YAVUNJIKA

MWANAMKE anayedaiwa kufunga ndoa ya siri na mchekeshaji mahiri Bongo, Amri Athuman maarufu kama Mzee Majuto au King Majuto, Rahma Abdallah (20), ameibuka na kudai kutelekezwa na mumewe huyo. Mzee Majuto akiwa na mkewe Rahma Abdallah siku ya ndoa yao. Ndoa hiyo ambayo ilifungwa kwa siri jijini Dar Julai 28, mwaka huu na kudumu siku 44, inaonekana imevunjika rasmi baada ya Mzee Majuto kutoa talaka kupitia kwa msanii wa… ...

HONGERA KWA KUJIUNGA NA TAIFA STAR

Adam Nditi. WATANZANIA wawili wenye uraia wa Uingereza, wamekubali kurejea nchini kuichezea timu ya taifa, Taifa Stars. Adam Nditi anayekipiga timu ya vijana ya Chelsea, mwenye uraia wa England, amesema yupo tayari kuitumikia Stars kama ilivyo kwa Ismail Feruz...