Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif
Ali Idd akiangalia waya wa umeme aina ya shaba ambao amezuia mauzo yake hadi
uongozi wa kiwanda cha sukari utapokaa pamoja na Wizara ya fedha kufikia
maamuzi.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar akiuagiza
Uongozi wa Kiwanda cha sukari Mahonda kukaa pamoja na Wizara inayosimamia Fedha
Zanzibar ili kufikia mwafaka wa matumizi ya waya wa umeme wa aina ya shaba ambao
tayari ulikuwa umeshauzwa.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif
Ali Iddi akitembelea kiwanda cha sukari Mahonda akiwa pamoja na Uongozi wa
Kiwanda hicho. Picha na
Hassan Issa –Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar
Tuesday, March 5, 2013
Home »
» Kiwanda cha sukari cha Mahonda visiwani Zanzibar kuzalisha Tani 400 za Sukari safi ikiwa ni sawa na Tani 40 kwa siku.
Kiwanda cha sukari cha Mahonda visiwani Zanzibar kuzalisha Tani 400 za Sukari safi ikiwa ni sawa na Tani 40 kwa siku.
Related Posts:
Mgomo mwengine wapamba moto A Kusini Wachimba migodi wa Afrika Kusini wamekataa nyongeza ya mishahara iliyopendekezwa na makampuni ya migodi. Chama cha wachimba migodi, NUMSA, chama kikubwa kabisa cha wafanyakazi Afrika Kusini, piya kimetishia kuwaomba mael… Read More
Wapalestina wakimbia Gaza kaskazini Mamia ya Wapalestina wamekuwa wakikimbia sehemu za kaskazini za Gaza, baada ya Israel kuonya kuwa italenga sehemu hiyo katika mashambulio yake ya sasa. Umoja wa Mataifa umenukuliwa ukisema kuwa watu kama 4,000 tayari wameo… Read More
Makombora ya Israel yalipua majumba katika eneo la Gaza Maafisa wa Palestina wanasema kuwa watu kumi na saba wa familia moja wameuawa baada ya makomb… Read More
Waziri wa mambo ya nje wa Uingereza Hague atangaza kujiuzulu. Waziri wa mambo ya nje wa Uingereza William Hague alisema jumatatu kuwa anajiuzulu kama mwanadiplomasia wa juu baada ya miaka minne katika kazi hiyo, ikiwa ni sehemu ya mabadiliko makubwa ya… Read More
Watoaji wa roho za watu ni wengi lakini madereva wamezidi Kufa kumeumbiwa kiumbe chochote kilicho hai. Kama kilizaliwa basi siku moja kitakufa. Lini kitakufa hakuna ajuaye labda yule aliyepanga mauaji ya kiumbe hicho na wakati mwingine hata yeye muuaji anafikia… Read More
0 comments:
Post a Comment