Tuesday, March 5, 2013

Kiwanda cha sukari cha Mahonda visiwani Zanzibar kuzalisha Tani 400 za Sukari safi ikiwa ni sawa na Tani 40 kwa siku.

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Idd akiangalia waya wa umeme aina ya shaba ambao amezuia mauzo yake hadi uongozi wa kiwanda cha sukari utapokaa pamoja na Wizara ya fedha kufikia maamuzi.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar akiuagiza Uongozi wa Kiwanda cha sukari Mahonda kukaa pamoja na Wizara inayosimamia Fedha Zanzibar ili kufikia mwafaka wa matumizi ya waya wa umeme wa aina ya shaba ambao tayari ulikuwa umeshauzwa.  
 Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akitembelea kiwanda cha sukari Mahonda akiwa pamoja na Uongozi wa Kiwanda hicho. Picha na Hassan Issa –Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar

Related Posts:

  • FIFA WAJA KUFATILIA SOKA OFISA Maendeleo wa Kusini mwa Afrika wa Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA), Ashford Mamelodi amewasili leo kwa ajili ya kufuatilia shughuli za maendeleo ya mpira wa miguu.  Mamelodi, ambaye amekuwa&… Read More
  • jk atua uganda kumzika baba yake rais museveni  Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na  maafisa mbalimbali wa ubalozi wa Tanzania Nchini Ethiopia katika Uwanja wa ndege wa kimataifa wa Bole jijini Addis Ababa jana jioni ya Februari 24, 2013 baada ya kuhudh… Read More
  • Matokeo ya kidato cha Nne: Wakuu wa shule wadai ilitungwa kwa mfumo tofauti MATOKEO mabaya ya mtihani wa kidato cha nne yamezidi kuibua mapya, baada ya wamiliki wa shule na vyuo binafsi nchini kusema mitihani ilitungwa kwa mfumo tofauti na uliozoeleka miaka yote, huku tume iliyounndwa na Wazi… Read More
  • Man City yailemea Chelsea Wachezaji wa Manchester City Mabingwa watetezi wa kombe hilo Manchester City wameandikisha ushindi mkubwa dhidi ya mabingwa wa ulaya Chelsea na hivyo kufufua matumaini yao ya kuhifadhi kombe hilo kwa mwaka wa pili, lich… Read More
  • Man United yaelekea kushinda ligi kuu Man United yaelekea kushinda ligi kuu Ligi kuu ya soka nchini England, imeendelea leo kwa michezo kadhaa kupigwa kwenye viwanja mbali mbali. Huko Loftous Road, Manchester United imeebuka na ushindi wa mabao maw… Read More

0 comments: