Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif
Ali Idd akiangalia waya wa umeme aina ya shaba ambao amezuia mauzo yake hadi
uongozi wa kiwanda cha sukari utapokaa pamoja na Wizara ya fedha kufikia
maamuzi.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar akiuagiza
Uongozi wa Kiwanda cha sukari Mahonda kukaa pamoja na Wizara inayosimamia Fedha
Zanzibar ili kufikia mwafaka wa matumizi ya waya wa umeme wa aina ya shaba ambao
tayari ulikuwa umeshauzwa.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif
Ali Iddi akitembelea kiwanda cha sukari Mahonda akiwa pamoja na Uongozi wa
Kiwanda hicho. Picha na
Hassan Issa –Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar
Tuesday, March 5, 2013
Home »
» Kiwanda cha sukari cha Mahonda visiwani Zanzibar kuzalisha Tani 400 za Sukari safi ikiwa ni sawa na Tani 40 kwa siku.
Kiwanda cha sukari cha Mahonda visiwani Zanzibar kuzalisha Tani 400 za Sukari safi ikiwa ni sawa na Tani 40 kwa siku.
Related Posts:
FIFA WAJA KUFATILIA SOKA OFISA Maendeleo wa Kusini mwa Afrika wa Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA), Ashford Mamelodi amewasili leo kwa ajili ya kufuatilia shughuli za maendeleo ya mpira wa miguu. Mamelodi, ambaye amekuwa&… Read More
jk atua uganda kumzika baba yake rais museveni Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na maafisa mbalimbali wa ubalozi wa Tanzania Nchini Ethiopia katika Uwanja wa ndege wa kimataifa wa Bole jijini Addis Ababa jana jioni ya Februari 24, 2013 baada ya kuhudh… Read More
Matokeo ya kidato cha Nne: Wakuu wa shule wadai ilitungwa kwa mfumo tofauti MATOKEO mabaya ya mtihani wa kidato cha nne yamezidi kuibua mapya, baada ya wamiliki wa shule na vyuo binafsi nchini kusema mitihani ilitungwa kwa mfumo tofauti na uliozoeleka miaka yote, huku tume iliyounndwa na Wazi… Read More
Man City yailemea Chelsea Wachezaji wa Manchester City Mabingwa watetezi wa kombe hilo Manchester City wameandikisha ushindi mkubwa dhidi ya mabingwa wa ulaya Chelsea na hivyo kufufua matumaini yao ya kuhifadhi kombe hilo kwa mwaka wa pili, lich… Read More
Man United yaelekea kushinda ligi kuu Man United yaelekea kushinda ligi kuu Ligi kuu ya soka nchini England, imeendelea leo kwa michezo kadhaa kupigwa kwenye viwanja mbali mbali. Huko Loftous Road, Manchester United imeebuka na ushindi wa mabao maw… Read More
0 comments:
Post a Comment