This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

Monday, March 25, 2013

KAULI YA RAIS KIKWETE KUHUSU UCHAWI KWENYE SOKA LA TANZANIA

Moja kati ya kauli ambazo zimeingia kwenye headlines za michezo kwa wiki iliyokwisha ni kauli ya President Jakaya Kikwete, kauli kuhusu ushirikina kwenye soka la bongo aliyoitoa wakati akizindua uwanja mpya wa club ya soka ya Azam Chamazi Dar es salaam.   Namkariri akisema “najua mtapata tabu sana mkiwaleta hapa watasema kiwanja hiki kina namna, yote ni ushirikina tu…. ni wale ambao hawataki kuwekeza kwenye maendeleo ya mchezo, wanataka...

AFYA YA KIBANDA ALIYETOBOLEWA JICHO YAANZA KUIMARIKA

Hope all is well. Salamu nyingi saaana toka JBG! I could not resist! Yes I cried! But Absalom is the same person I knew last two months! Amesimama! Mungu ni Mwema!!! Anaomba watanzania wamwombee na amesema anaendelea vizuri kwa sa...

BINTI MIAKA 7 ABAKWA NA KUHARIBIWA VIBAYA

BINTI wa miaka saba  amefanyiwa ufirauni wa kutisha baada ya kijana mmoja wa kiume aliyetambulika kwa jina moja la Justin kudaiwa kumuingilia kimwili na kumharibu vibaya sehemu za siri kwa kipindi cha miaka mitatu mfululizo.   Akisimulia mkasa huo wa kusikitisha, binti huyo anayesoma darasa la pili katika shule moja iliyopo Sanawari jijini hapa, alisema kuwa mara ya kwanza alipelekwa nyumbani kwa mwanaume huyo na msichana...

ISHA MASHAUZI AKIRI KUTUMIA MADAWA YA KULEVYA

STAA wa muziki wa taarab na mkurugenzi wa Mashauzi Classic, Aisha Ramadhan ‘Isha Mashauzi’ ameibua gumzo na kushangaza mashabiki baada ya kukiri kuwa yeye ni mtumiaji wa pombe kali na madawa ya kulevya aina ya mirungi Ishu hiyo ilijiri Alhamisi ya wiki iliyopita wakati akihojiwa na mtangazaji wa Redio Times FM, Hadija Shaibu ‘Dida’ kupitia kipindi chake cha Mitikisiko ya Pwani ambapo alisema mirungi na pombe kali ndiyo starehe yake...

CHID BENZ " AMCHAPA MAKOFI " NGWAIR

Mkali wa vina na mashairi kutoka pande za Ilala anayefahamika kwa jina maarufu la 'Chid Benz' ameanza kupata sifa mbaya baada ya kumpiga mwanamuziki mwenzake 'Ngwea' nje ya ukumbi wa  Ambassador Lounge ulioko kwenye jengo la Benjamini Mkapa tower Posta usiku wa kuamkia Machi 22. Kupigwa kwa 'Ngwea' kulikuja baada ya 'Chid' kumzingua 'Dully' alipokua akiingia ambapo mwisho wake aliamua kuondoka.    Alipoondoka 'Dully',...

JAMABAZI SUGU LAUWAWA KWA KUPIGWA RISASI MLIMA NYOKA JIJINI MBEYA

Mwili wa Jambazi sugu  Emanuel Blasius Mdendemi ukiwa umehifadhiwa katika hospitali ya rufaa Mbeya Kamanda wa polisi mkoa wa Mbeya  Diwani akiangalia mwili jambazi lililouwawa na kikosi cha polisi Mbeya Baadhi ya polisi na waandishi wa habari wakiwa nje yajengo la kuhifadhia maiti katika hospitali ya rufaa Mbeya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya Diwani Athumani amethibitisha kutokea kwa tukio hilo katika Mkutano alioufanya...

"SIKUONA HAJA YA KUFIKIRIA MARA MBILI KUMSAIDIA KAJALA MILIONI 13 ILI ATOKE SEGEREA"...WEMA SEPETU AFUNGUKA

Mrembo Wema Sepetu leo amemake headline baada ya kutoa mfukoni mwake shilingi milioni 13 kulipa faini aliyopigwa muigizaji mwenzie Kajala Masanja aliyehukumiwa leo kwenda jela miaka mitano ama kulipa kiasi hicho cha fedha. Kajala na Wema wakikumbatiana Akiongea  kwa  kujiamini, Wema amesema hakufikiria mara mbili kutoa kiasi hicho cha fedha. “Kusema kweli wanasemaga kwamba kutoa ni moyo so naamini what I did is best, nimetoa...