This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

Saturday, June 22, 2013

MCHUNGAJI AZAA NA HAUSIGE

Stori:Gladness Mallya na Harun Sanchawa HAYA ni madai mazito! Mchungaji wa Kanisa la Kiroho la Kijito cha Utakaso au Healing Centre International lililopo Kimara-Mwisho, Dar, Thomas Mariki anadaiwa kuvuliwa kofia ya uchungaji baada ya kutuhumiwa kuzaa na ‘hausigeli’ wake, Sessy Mwambashi. Akizungumza...

SHOW YA MIAKA 13 YA KIKOSI CHA MIZINGA JANA VIWANJA VYA MSASANI CLUB DAR

Mashabiki wakiwa mzukaa mbaya Chidi Benz akifanaya yake Ilikuwa aibu Babu… Mashabiki wakiwa mzukaa mbaya Chidi Benz akifanaya yake Ilikuwa aibu Babu hayaaaa Kumbukumbu Muhimu Mwana afande Sele akikinukisha kwa hisia stegini Mashabiki waki enjoy show ya miaka 13 ya kikosi cha mizinga Songa akiwa kwa steji akifanya yake Kalapina akifanya mambo kwenye stegi Tabla akifanya yake kwa steji           ...

CHEKA NA KATUNI ZA GPL LEO

CHEKA UONGEZE SIKU ZAMANI MPAKA SIKU HIZI CHEKA MPAKA BASI TEMBWE MZEE… CHEKA UONGEZE SIKU ZAMANI MPAKA SIKU HIZI CHEKA MPAKA BASI TEMBWE MZEE HAMNAZO KATAFUNUA CHEKA MPAKA BASI SKENDO KITAA...

REDD'S MISS KINONDONI 2013 APATIKANA

Redd's Miss Kinondoni 2013, Lucy Tomeka (katikati), akiwa kwenye pozi la pamoja na warembo wenzake walioingia kwenye Tatu Bora. Lucy akikabidhiwa taji hilo na Miss Kinondoni wa mwaka uliopita. Warembo walioingia… Redd's Miss Kinondoni 2013, Lucy Tomeka (katikati), akiwa kwenye pozi la pamoja na warembo wenzake walioingia kwenye Tatu Bora. Lucy akikabidhiwa taji hilo na Miss Kinondoni wa mwaka uliopita. Warembo walioingia kwenye Tano Bora...

NCHI IMEVAMIWA

Stori:Mwandishi wetuTaifa linapepesuka, linayumbishwa na adui asiyeonekana, anayesababisha kizaazaa kisha yeye kukaa pembeni akiwaacha Watanzania wao kwa wao wakinyoosheana vidole kutuhumiana kuhusika. IGP Saidi Mwema Adui huyo ameivamia Tanzania na ndiye inafaa awe mtuhumiwa nambari moja wa bomu lililolipuliwa Soweto, Arusha, katika mkutano wa hadhara wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)...

WEMA SEPETU APOTEZA MVUTO....MIKOROGO YAMUATHIRI....MICHIRIZI YAANZA KUPANDA USONI

Matumizi mabaya ya vipodozi yameanza kumuathiri  wema  Sepetu  ambaye  ni  miss Tanzania  2006.. Wema  ambaye umri wake bado  haujamtupa  , hivi  sasa  anakabiriwa na tatizo la  ngozi  kutokana  na michirizi  kusambaa  mwili mzima  hasa  mapajani....  Kamera  zetu  si  mara  ya  kwanza  kumshuhudia  Mrembo ...