This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

Thursday, March 7, 2013

waziri wa denmark aandaliwa dhima ya kitaifa

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha Waziri Mkuu wa Denmark Mhe. Hell Thorning-Shmidt  katika dhifa ya kitaifa aliyomwandalia Ikulu jana usiku Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimpa zawadi ya kinyago cha ‘Shetani,  Waziri Mkuu wa Denmark Mhe. Hell Thorning-Shmidt  wakati wa dhifa ya kitaifa aliyomwandalia Ikulu jana usiku  Waziri Mkuu wa Denmark Mhe. Hell Thorning-Shmidt  akifurahia...

MAMA SALMA AZINDUA KISIMA CHA MAJI -MWANZA

  Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo, Mama Salma Kikwete akikata utepe ikiwa ni ishara ya kuzindua rasmi kisima cha maji kilichochimbwa katika hospitali ya mkoa wa Mwanza, Sekou Toure,kwa msaada wa Kampuni ya Bia ya Serengeti. Kisima hicho kimegharimu shilingi milioni sabini. wa pili kulia  ni Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Ndugu Paschal Mabiti na kushoto ni Mwenyekiti wa Kampuni ya bia ya Serengeti Jaji...

mamilioni wamuaga rais wa venezuela

 Mwili wa Chavez ukipitishwa katika barabara za mji mkuu Caracas Mwili wa Chavez umelazwa katika kituo cha mafunzo ya kijeshi mjini Caracas na marais wa nchi jirani walifika kutoa heshima zao za mwisho akiwemo Rais wa Bolivia...

YASEMAVYO MAGAZETI YETU

...

WANAWAKE WASHEREKE SIKU YAO KWA KUPEWA KIPAO MBELE

Ofisa Mawasiliano Mwandamizi, Mradi wa CHAMPION, Muganyizi Mutta akitoa mafunzo kwa waandishi wa habari wa mkoa wa Iringa katika ukumbi wa royal hotel mafinga wiki hii. Na Denis Mlowe, Iringa WANAHABARI nchini wametakiwa kuandika habari zinazolenga kukuza usawa wa jinsia katika vyombo vyao vya kazi. Ofisa Mawasiliano Mwandamizi, Mradi wa CHAMPION, Muganyizi Mutta alisema hayo wiki hii wakati wa mafunzo ya wanahabari mkoani Iringa...

Ipc yalaani alichofanyiwa kibanda

Na  Francis  Godwin,Iringa KLABU  ya  Waandishi  wa Habari Mkoa  wa Iringa (IPC) imeeleza kusikitishwa na wimbo la vitendo vya ukatili na ukiukwaji  wa haki  za binadamu vinavyoendelea   kujitokeza  kwa  wanahabari  hapa nchini na  kulitaka  jeshi la  polisi kuusaka mtandao huu  wa utekaji wa  wanahabari nchini.Akizungumza na wanahaari...