This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

Friday, March 22, 2013

NANI ANASTAHILI KUTWAA TUZO YA 'WOMAN OF THE YEAR' ? TUMA JINA LA MWANAMKE UNAYEDHANI ANAFAA

Mtandao wa Global Publishers umeaandaa tuzo kwa mwanamke bora wa mwaka 'WOMAN OF THE YEAR' katika sehemu zifuatazo: Siasa, Biashara, Jamii, Utawala na Haki za Binadamu. Ili kushiriki, tuma jina la mwanamke unayeona anafaa kutwaa tuzo hii katika sehemu ya maoni.   NANI MFALME WA TEMEKE, TMK HALISI AU TMK FAMILY? ...

UKATILI 100%

Na Patrick Mabula, Kahama HUU ni ukatili kwa 100%! Martha Charles (22), mkazi wa Nyahanga wilayani hapa ambaye ni mtumishi wa Halmashauri ya Mji wa Kahama ameuawa kinyama kwa kuchinjwa shingoni na mume wake, Amani lina habari ya kusikitisha. Marehemu Martha Charles (22) baada ya kuchinjwa shingoni na mume wake, Isack Nzwalile. (29). Kaimu Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Shinyanga,...

MADENTI WA KIKE CHUO KIKUU UDOM WASEMA: WABUNGE MABUZI YETU

Na Mwandishi WetuMITANDAO mingi ya kijamii na kurasa binafsi za mawasiliano zinazopatikana ndani ya simu za viganjani kama Instagram, WhatsApp na BBM (Blackberry Messenger) zinazomilikiwa na baadhi ya wasichana wanaosoma Chuo Kikuu cha Dodoma (Udom) zimejaa mambo ya ngono na kashfa kwa baadhi ya wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Unyemeleaji taarifa uliofanywa na...

MASOGANGE AKIMBIA BONGO KISA MAKALIO YAKE!

Na Imelda Mtema ‘VIDEO Queen’ maarufu Bongo, Agnes Gerald ‘Masogange’ ambaye muda mwingi amekuwa akiishi Afrika Kusini ameelezea jinsi maisha ya Bongo yalivyomchosha huku usumbufu anaopata kutokana na makalio yake makubwa ikiwa moja ya sababu.   Agnes Gerald ‘Masogange’. Akipiga stori na Ijumaa juzikati, Masogange alisema umbile lake hilo limekuwa likimfanya akose amani anapokatiza mitaani, tofauti na Sauzi ambako wanawake wengi wamefungashia...