Maofisa hao wa serikali kwa sasa wapo mahabusu kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ambapo ndugu na jamaa wanaangaika kutafuta fedha za kuwalipia dhamana.
This is default featured slide 1 title
Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.
This is default featured slide 2 title
Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.
This is default featured slide 3 title
Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.
This is default featured slide 4 title
Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.
This is default featured slide 5 title
Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.
Tuesday, February 11, 2014
ujenzi wa jengo linalochungulia Ikulu
Maofisa hao wa serikali kwa sasa wapo mahabusu kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ambapo ndugu na jamaa wanaangaika kutafuta fedha za kuwalipia dhamana.
CHADEMA ni Mzigo kwa Taifa….NAPE
Kimesema siri ya kuimwaga CHADEMA ni uadilifu katika kuwatumikia wananchi na kwamba, kushindwa kwa chama hicho ni ushahidi kwamba hakikubaliki na Watanzania wamewathibitishia kwamba hawajazoea vurugu.
Katibu wa NEC ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye alisema hayo na kuongeza kuwa matokeo hayo ni ushahidi kwamba CCM inakubalika zaidi na Watanzania walio wengi.
Nape alisema CCM inaahidi kuendelea kuwatumikia Watanzania kwa amani na utulivu kwa kuwa ina uzoefu wa kufanya siasa kistaarabu na ndio siri ya kukubalika kwa wananchi.
Akizungumzia kushindwa kwa CHADEMA alisema wamehukumiwa kutokana na vurugu na kupiga watu kwenye kampeni za uchaguzi na ndio maana wametumia gharama kubwa na helkopta tatu na kuambulia kata tatu.
“CHADEMA wamevuna walichopanda Watanzania hawapenda vurugu, wamezoea amani na utulivu sasa wamewaadhibu kwa kuwanyima kura na huo ni ushahidi kwamba Watanzania hawakiamini,” alisema.
Katika uchaguzi huo CCM ilishinda katika kata CCM ilishinda katika kata 23 za Kibindu na Magomeni (Pwani), Kiwalala na Namikage (Lindi), Ubwage (Shinyanga), Ibumu na Nduli (Iringa), Kiomoni na Mtae (Tanga), Nyasura(Mara), Malindo na Santillya (Mbeya).
Zingine ni Partimbo(Arusha, Mkwiti (Mtwara), Tungi na Ludewa (Morogoro), Mrijo (Dodoma).
MTUHUMIWA WA MAUWAJI YA WATU 9 TARIME AFARIKI DUNIA
Kamanda wa Polisi Kanda ya Tarime/ Rorya
Justus Kamugisha, alisema mtuhumiwa huyo alifariki usiku wa kuamkia jana wakati akitibiwa ugonjwa wa pumu na kwamba baada ya kugunduliwa kuwa na ugonjwa huo, alipelekwa hospitalini. Kamanda Kamugisha alisema mwili umehifadhiwa kwa ajili ya kufanyiwa uchunguzi.
Alisema kabla ya kufariki, mtuhumiwa alikiri kuhusika katika mauaji ya watu tisa katika kata za Binagi, Turwa na Kitare katika Vijiji vya Mogabiri, Kenyamanyori, Nkende na Rebu.
Kamanda huyo alisema Range Kichune alikamatwa Februari 6, mwaka huu mkoani Tanga baada ya Jeshi la Polisi kwa kushirikiana na raia wema kufuatilia mtandao wake na kuwa ilidaiwa baada ya mauaji ya hao alikodi pikipiki kutoka kijijini kwake Kenyamanyori hadi Musoma na kuhifadhi bunduki SMG na risasi kadhaa kwa mshirika wake mkuu.
Alipokamatwa alimtaja Marwa Keryoba kuwa mshirika wake na kuwa alihifadhi silaha hiyo kwake na Marwa aliuawa Februa 7, mwaka huu Musoma wakati akirushiana risasi na polisi alipotakiwa kujisalimisha.