This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

Saturday, February 23, 2013

FIFA WAJA KUFATILIA SOKA

OFISA Maendeleo wa Kusini mwa Afrika wa Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA), Ashford Mamelodi amewasili leo kwa ajili ya kufuatilia shughuli za maendeleo ya mpira wa miguu.  Mamelodi, ambaye amekuwa msaada mkubwa kwa shughuli za maendeleo nchini Tanzania tangu alipoteuliwa kushika nafasi hiyo, pia amekuja kumtambulisha msaidizi wake, Patrick Onyango aliyeteuliwa kushika nafasi hiyo hivi karibun...

hali ni tete drc;un

  Na Mwandishi Maalum Hali katika eneo la Mashariki ya Kongo inaelezwa kwamba ni tete na ya hatari kiasi kwamba kuna uwezekano mkubwa wa kuibuka mgogoro mkubwa yoyote.Onyo hilo limetolewa siku ya Ijumaa na Bw. Roger Meece ambaye ni Mwakilishi Maalum wa Katibu Mkuu katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wakati alipokuwa akitoa taarifa kwa Baraza Kuu la Usalama la Umoja wa Mataifa Bw. Roger Meece amelitoa toa onyo hilo, wakati Katibu...

ZACO TECHNOLOGY

inatoa offer kwa wateja wake ambao wanataka kufanyiwa kazi za editing  kama vile matangazo ya mabango website movie  photo graphics kua wanatoa offer bomba kabisa kwa wateja wao tunapunguzo kubwa sana kwa yoyote yule atakaefanya kazi nasi zaidi ya moja...

SMART BOY

 zaidi fika mataa Karibu Smart Boy kwa mahitaji yako yote ya nguo za kisasa na zakijanja unakaribishwa kwa mawasilianowa uhuru karibu na daraja la wamasai kuna suti za kila aina mashart vibody vya kina dada watoto wadogo pia tuna punguzo la aslimia 90% kwa yule atakae nunua nguo zaidi ya moja...