OFISA 
Maendeleo wa Kusini mwa Afrika wa Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa 
Miguu (FIFA), Ashford Mamelodi amewasili leo kwa ajili ya kufuatilia 
shughuli za maendeleo ya mpira wa miguu.
 Mamelodi,
 ambaye amekuwa msaada mkubwa kwa shughuli za maendeleo nchini Tanzania 
tangu alipoteuliwa kushika nafasi hiyo, pia amekuja kumtambulisha 
msaidizi wake, Patrick Onyango aliyeteuliwa kushika nafasi hiyo hivi 
karibuni.







0 comments:
Post a Comment