OFISA
Maendeleo wa Kusini mwa Afrika wa Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa
Miguu (FIFA), Ashford Mamelodi amewasili leo kwa ajili ya kufuatilia
shughuli za maendeleo ya mpira wa miguu.
Mamelodi,
ambaye amekuwa msaada mkubwa kwa shughuli za maendeleo nchini Tanzania
tangu alipoteuliwa kushika nafasi hiyo, pia amekuja kumtambulisha
msaidizi wake, Patrick Onyango aliyeteuliwa kushika nafasi hiyo hivi
karibuni.
0 comments:
Post a Comment