This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

Monday, July 14, 2014

Watoaji wa roho za watu ni wengi lakini madereva wamezidi

Kufa kumeumbiwa kiumbe chochote kilicho hai. Kama kilizaliwa basi siku moja kitakufa. Lini kitakufa hakuna ajuaye labda yule aliyepanga mauaji ya kiumbe hicho na wakati mwingine hata yeye muuaji anafikia hatua asifanikiwe katika azma yake hiyo. Kwa sisi wenye imani za dini tunaamini kwamba Mungu alitupa ruhusa ya kutoa uhai wa mimea na wanyama ili kujifanyia chakula. Wapo wanaoondoa baadhi ya wanyama kwamba nao hawaruhusiwi...
Makombora ya Israel yalipua majumba katika eneo la Gaza Maafisa wa Palestina wanasema kuwa watu kumi na saba wa familia moja wameuawa baada ya makombora ya Israel kuharibu nyumba moja ya ghorofa tatu ya mkuu wa polisi wa Hamas. Tayseer Al-Batsh anadaiwa kujeruhiwa katika shambulizi hilo. Mashambulizi hayo yanajiri baada...