Jumamosi usiku mashambulio ya ndege za Israel yaliendelea Gaza.
Wapalestina zaidi ya 160 wameuwawa hadi sasa.
Hamas imerusha makombora zaidi dhidi ya miji ya Israel pamoja na Tel Aviv; hakuna mtu aliyekufa Israel.
Israil ilisema wanajeshi wane walijeruhiwa waliposhambulia eneo ambapo makombora yakirushwa.
Hamas inasema wanajeshi wa Israil hawakuwahi kufika ardhini.
0 comments:
Post a Comment