This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

Tuesday, June 11, 2013

ILIVYOKUWA HARUSI YA H.BABA NA FLORA MVUNGI

H Baba na mkewe Flora Mvungi katika pozi la siku ya sendoff ambayo ilifuatiwa na harusi ya kupendeza..  Flora Mvungi akimlisha epo H Baba kiashiria kuwa kamtambua ndani ya mamia ya wageni walioalikwa kwenye sendoff paty. Flora akimnywesha mumewe kinywaji cha kwanza mara baada ya ndoa kufungwa. H Baba akisaini kitabu cha ndoa. Flora naye akisaini kitabu cha ndoa. Baada ya kuvuka mito,milima na mabonde hatimaye...

AIRTEL YAKUTANA NA WAHARIRI WA HABARI ZA MICHEZO KUJADILI NAMANA YA KUBORESHA MICHUANO YA AIRTEL RISING STARS‏

Meneja Mahusiano wa Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania, Jackson Mmbando akizungumza na wahariri wa habari za Michezo wakati wa hafla iliyoandaliwa...

MREMBO ACHINJWA

Issa Mnally na Makongoro Oging' MREMBO aliyejulikana kwa jina la Pepetua Maina au maarufu kama Lucy, Mkikuyu wa Kenya anayekadiriwa kuwa na miaka 25 mpaka 30 amekutwa amekufa kwa kuchinjwa shingo na mwili wake kutupwa katika shimo la taka. Mwili wa Pepetua Maina ukiwa katika shimo la taka. Mwili wa huo ulikutwa na polisi Juni 8, mwaka huu  Mikocheni B, jirani kabisa na makazi...

BALAA ZITO!

Dawa za kulevya. Kuhusu uvumi, vitu viwili vinavyotajwa sana ni ama kifo chake kilisababishwa na kuchanganya madawa ya kulevya pamoja na vilevi vingine, hivyo kutengeneza sumu iliyomuua au alibeba mzigo wa unga tumboni ambao ulimchachia na kumtanguliza mbele ya haki. Huku tukisubiri ripoti hiyo kuwekwa wazi, Uwazi lipo kwenye wakati mzuri kueleza kinagaubaga jinsi wasanii wa Kitanzania walivyogeuzwa makuli wa kubeba mizigo ya madawa ya kulevya...

MSANII MATONYA AFIKISHWA MAHAKAMANI HUKO SONGEA KWA TUHUMA ZA UTAPELI....HUU NDO MKASA WAKE

Msanii Matonya  amekamatwa kutokana na kufanya utapeli katika show aliyotakiwa kufanya katika ukumbi wa Jambolee uliopo manispaa ya Songea mkoani ruvuma.  Taarifa  zinadai  kuwa  Matonya  aliingia ukumbini akiwa amelewa,  hali iliyomfanya  ashindwe  kufanya show na kusababisha hasara katika ukumbi  huo baada ya kufanya fujo ya kuvunja vitu ukumbi hapo... Baada  ua  hali ...