This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

Saturday, June 1, 2013

REDD'S MISS TABATA 2013 APATIKANA

Miss Tabata Dolizi Moleo (Katikati) Upendo Lemana mshindi wa tatu Rechoul Musa. Mwenyekiti wa kamati ya  Miss Tanzania Prashent Pater (Kushoto) akiongea na Hoice Temu ambae alishawahi kuwa Miss Tanzania.…  Miss Tabata Dolizi Moleo (Katikati) Upendo Lemana mshindi wa tatu Rechoul Musa.  Mwenyekiti wa kamati ya  Miss Tanzania Prashent Pater (Kushoto) akiongea na Hoice Temu ambae alishawahi kuwa Miss Tanzania. Wanamuziki ...

KIGORI YAZINDULIWA SUNSIRO

Wanenguaji wa kike wa Bendi ya Extra Bongo wakifanya yao jukwaani kusindikiza uzinduzi huo.  Wanenguaji wa kiume wa Extra Bongo wakionesha mautundu yao. Msanii mahiri wa ngoma za asili na sanaa za maonesho, One Star…  Wanenguaji wa kike wa Bendi ya Extra Bongo wakifanya yao jukwaani kusindikiza uzinduzi huo. Wanenguaji wa kiume wa Extra Bongo wakionesha mautundu yao. Msanii mahiri wa ngoma za asili na sanaa za maonesho, One Star...

BENDI YA AKUDO IMPACT YAFANYA MAKAMUZI KATIKA UKUMBI WA MANGO GARDEN KINONDONI

Kaimu Prezidaa wa Akudo, Tarcis Masela (katikati) akikamua. Makamuzi yakiendelea. Mfanyabiashara Pius Ruta ‘Mzee wa Pamba’ (kushoto) na mwanamuziki wa African Stars ‘Twanga Pepeta’ Hamis Amigo ‘Amigoras’ wakiwa kwenye… Kaimu Prezidaa wa Akudo, Tarcis Masela (katikati) akikamua. Makamuzi yakiendelea. Mfanyabiashara Pius Ruta ‘Mzee wa Pamba’ (kushoto) na...

KIFO CHA MANGWEA NI SUMU!

Stori:Sifael PaulKIFO cha msanii wa Hip Hop Bongo, Albert Kenneth Mangwea a.k.a Ngwea kilichotokea Jumanne wiki hii jijini Johannesburg, Afrika Kusini ‘Sauzi’, kinaendelea kuibua mapya ambapo sasa sumu imetajwa kuhusika, Risasi Jumamosi linafungua kila kitu. Hospitali aliyopelekwa Akizungumza na paparazi wetu juzi kwa njia ya simu moja kwa moja kutokea nchini...

WANYARWANDA WANASWA LIVE WAKIJIUZA JIJINI DAR

POLISI Mkoa wa Ilala, jijini Dar es Salaam imeendesha oparesheni maalum ya kuwanasa machangudoa wanaofanya biashara hiyo haramu katika eneo lao na kufanikiwa kuwaweka ‘mtu kati’ makahaba kibao, wakiwemo raia wa Rwanda na Burundi... Kamatakamata hiyo ilichukua nafasi usiku mnene wa Alhamisi ya Mei 23, mwaka huu kwenye danguro kubwa la makahaba lililopo Kariakoo, jijini Dar ambalo machangu hao hutegea mingo zao kwa ajili ya kuwanasa wateja. Katika...

KIJANA ANUSURIKA KUFA BAADA YA VIBAKA KUMCHOMA MOTO HUKO MKOANI LINDI

Mtu mmoja aliyetambulika kwa jina la Ismai Mayoba(31) anayefanya kazi Bar ya Mangrove,Mkazi wa Manispaa ya Lindi amenusurika kifo baada ya kuvamiwa na kundi la Vijana waliotaka kumpora na hatimae kumchoma moto.  Kwa sasa kijana huyo amelazwa katika Hospital ya Sokoine Mjini humo. Kufuatia tukio hilo,Jeshi la Polisi wilayani Lindi limefanikiwa kumkamata mtu  mmoja kati ya watuhumiwa saba waliohusika na tukio hilo lilitokea...