Akiongea kwa uchungu , Spika wa Bunge bi Anne Makinda amewashambulia wabunge leo asubuhi na kuwaambia suti zao walizovaa haziendani na matusi yanatoka katika vinywa vyao ambayo yeye ameshindwa kuyataja kutokana kwa madai kuwa mdomo wake hauwezi kutamka matusi hayo.....
This is default featured slide 1 title
Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.
This is default featured slide 2 title
Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.
This is default featured slide 3 title
Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.
This is default featured slide 4 title
Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.
This is default featured slide 5 title
Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.
Tuesday, April 16, 2013
SPIKA WA BUNGE AWAVAA WABUNGE "WANAOTUMIA MATUSI" BUNGENI
Akiongea kwa uchungu , Spika wa Bunge bi Anne Makinda amewashambulia wabunge leo asubuhi na kuwaambia suti zao walizovaa haziendani na matusi yanatoka katika vinywa vyao ambayo yeye ameshindwa kuyataja kutokana kwa madai kuwa mdomo wake hauwezi kutamka matusi hayo.....
"NIMEMSAMEHE DIAMOND INGAWA ALINISALITI KWA UWOYA....KWA SASA TUMEYAMALIZA".....HII NI KAULI YA PENNY
Katika muda ambao kila mmoja alikuwa amejaribu kuamini kuwa Diamond Platnumz ameamua kutulia na mpenzi mmoja, mtangazaji wa DTV, Penniel Mungilwa, hivi karibuni staa huyo ameanzisha uhusiano wa kimapenzi na muigizaji wa filamu Irene Uwoya.....
Magazeti ya udaku nchini yaliandika habari hiyo ikiwa na picha inazowaoenesha mastaa hao wakichukua chumba kwenye hoteli ambako walienda kufanya yao.
Kufuatia tetesi hizo, mwandishi wetu amezungumza na mpenzi wa sasa wa Diamond, Penny ambaye amesema kwa ufupi kuwa wameshayazungumza na Diamond na wako vizuri kwa sasa lakini akasisitiza kuwa asingependa kuliongelea zaidi suala hilo.
Katia hatua nyingine, Jokate Mwegelo aliyewahi kuwa na uhusiano na Diamond amekanusha taarifa iliyoandikwa na gazeti moja la udaku kuwa amemcheka Irene kwa kunaswa kwenye himaya ya Diamond.
“Mimi hivyo vitu havinihusu na wanapenda kupata quotes zangu pasipo hitajika. I don’t know why? I don’t why wanatafuta story. That’s their life kiukweli with whatever they choose to do, more power to them,” amesema Jokate.
BOB JUNIOR AINGIZWA MKENGE....LAWAMA ZATUPWA TIGO
Taarifa hiyo imetolewa na baba yake mdogo, Guru Ramadhan ambaye ni mmiliki wa G Records. Kupitia Facebook, Guru aka G Lover ameandika:
VIGOGO WIZARA YA ARDHI KORTINI KWA UBADHIRIFU
Watuhumiwa hao ni Simon Lazaro ambaye alikuwa ni Kaimu Mkurugenzi wa Mipango na Sera, Gerald Mango, Mkuu wa Tume ya Taifa ya Matumizi ya Ardhi , na Charles Kijuba, Kaimu Mhasibu Mkuu.
Watuhumiwa hao wamekana mashitaka na mahakama hiyo imesema kuwa dhamana iko wazi .
SIMU NUSURA IWATOE ROHO
MHESHIMIWA AUMBUKA!
Tukio hilo lililojaa fedheha lilitokea mwishoni mwa wiki iliyopita, majira ya saa 11:25 jioni baada ya askari wa jeshi la polisi, ndugu na jamaa kufika eneo la hoteli moja maarufu jijini hapa (jina limehifadhiwa) na kumkuta chumbani akiwa mtupu akijiandaa kufanya ngono na mke huyo wa mtu.
Ilidaiwa kuwa mtuhumiwa huyo, kabla ya kuumbuka, alikuwa ameandaa mazingira yote kwa ajili ya kuvunja amri ya sita na mke huyo wa mfanyakazi wake.
Mtego wa kumnasa ulifanikiwa baada ya mtuhumiwa kutinga hotelini hapo akiwa na gari la kampuni aina ya Toyota Hilux lenye namba za usajili T 821 ASY na kunyooka moja kwa moja chumbani alikokuwa akisubiriwa na mwanamke huyo.
Habari za uhakika zilieleza kuwa bosi huyo ni mbunge mstaafu aliyewahi kuwa Mheshimiwa wa Jimbo la Nkotakota South East nchini Malawi kwa kipindi cha miaka kadhaa.
Jamaa huyo aliangushwa na Agness Chatipwa Mandebvu katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2009 nchini humo ndipo akatinga jijini hapa na kupata kazi ya umeneja wa kampuni hiyo ya usafirishaji.
MADAI MAZITO
Ilidaiwa kuwa meneja huyo ndiyo mchezo wake kwa sababu amekuwa akiwafanyia hivyo mabinti wanaofika ofisini kwake kwa ajili ya kuomba kazi ambapo huwakubalia kuwapa kazi endapo watakubali kushiriki naye dhambi ya uzinzi.
Uchunguzi ndani ya kampuni hiyo ulidaka madai kuwa tangu awe meneja, mabinti zaidi ya watano waliacha au kufukuzwa kazi walipokataa kufanya naye ngono.
Ilidaiwa kuwa wanaokubaliana na hali hiyo kutokana na ugumu wa maisha humkubalia na kupandishwa vyeo kiholela.
Sakata la tabia hiyo chafu kwa raia wa Kitanzania, lilifikia kikomo baada ya mfanyakazi mmoja (jina limehifadhiwa) ambaye alikuwa ni mfanyakazi wa ndani wa meneja huyo kusimamishwa kazi kwa madai kuwa alichelewa kuripoti kazini.
MCHEZO WA NIPE NIKUPE
Mfanyakazi huyo ambaye alikuwa akiishi na mkewe nyumbani kwa bosi wake, alisimamishwa kazi ambapo bosi huyo alitumia mwanya huo kuanza kumchombeza mke wa jamaa huyo kwa kumwambia amkubalie ili amrudishe mumewe kazini.
Baada ya kupata usumbufu huo kwa kipindi kirefu ndipo jamaa huyo pamoja na wafanyakazi wenzake ambao walikuwa hawaipendi tabia ya bosi wao wakaandaa mtego uliomnasa kama panya bila kujinasua na kuishia mikononi mwa polisi.
WAFANYAKAZI
Taarifa zilizothibitishwa na baadhi ya watumishi wa kampuni hiyo ambao majina yake hawakutaka yaandikwe gazetini, walisema tabia ya bosi wao imekithiri na kwamba amekuwa akitumia wadhifa wake kuwalaghai watoto wa kike ili kufanya nao mapenzi.
Wafanyakazi hao walidai ni bora Idara ya Uhamiaji mkoani hapa iingilie kati suala hilo ili kuwanusuru Watanzania dhidi ya watumishi wa kigeni wanaokuwa na tabia zinazolenga kuwaondolea utu wao.
TURUDI KWENYE TUKIO
Baada ya kufumaniwa akiwa mtupu kutokana na mke wa mtu huyo kutoa ishara kwa walioweka mtego, aliomba radhi kwa mume wa mwanamke huyo ambaye ni mwajiriwa wa kampuni anayefanya kazi ya kutengeneza bustani.
Hata hivyo, msamaha wake ulikataliwa na soo likatinga polisi na sasa anasubiriwa kupelekwa mbele ya mkono wa sheria...
Airtel na Nokia wazindua Offer Kabambe ya Nokia Lumia 620
* Offa itajumuisha SMS bila kikomo na kifurushi cha internet ya 3.75G cha 3GB
Monday 15 Aprili 2013, Airtel Tanzania imeungana kwa pamoja na kampuni ya Nokia na kuzindua simu ya Nokia Lumia 620 itakayowawezesha wateja wa Airtel nchi nzima kuunganishwa na huduma ya technologia ya juu kwa
kupitia simu za kisasa na kupata ofa kabambe za bure za muda wa mongezi, ujumbe mfupi na kifurushi cha internet kwa muda wa mienzi mitatu Nokia Lumia 620 pamoja na simkadi ya Airtel itatoa uwezo tofauti ikiwemo kuunganishwa na internet na mtandao na kuangalia mitandao mbalimbali yakijamii pamoja na tovuti mbalimbali.
Nokia Lumia inamuonekano mzuri na wa kisasa wenye rangi za kipekee ambapo kutokana na ubunifu `wetu wa kutengeneza simu zenye rangi tofauti mteja ataweza
kujichagulia simu yenye mvuto na rangi aitakayo Vitu vingine vilivyopo kwenye simu hii ya Nokia Lumia ni pamoja na kamera yenye lensi ya kisasa, ya mega pixel 5, pamoja na kamera ya mbele, kutokana na kuwa na Lensi bora hii itamuwezesha mteja kupata video au picha yenye muonekano mzuri zaidi Ndani ya Nokia Lumia 620 unaweza kupata vitu muhimu sana ikiwemo ramani ya Dunia pamoja na maelekezo maalum wa vitu au sehemu maalum mbalimbali.
Akiongea wakati wa uzinduzi Meneja Uhusiano wa Airtel Jackson Mmbando alisema" tumeshirikiana na Nokia katika kuhakikisha tunaendelea kutoa huduma bora na nafuu kwa kupitia vifaa vya Nokia vinavyokuhakikishia kiwango cha juu huku tukiwapa wateja wetu uzoefu wa pekee katika huduma zetu.Kwa kupitia huduma yetu ya internet ya 3.75G tunayoitoa nchi nzima wateja wetu wana hakikishiwa huduma za uhakika wakati wote.Nokia Lumia itaunganishwa na ofa ya kifurushi cha muda wa maongezi cha dakika 275, sms bila kikomo na intenet ya kifurushi cha 3GB kitakachopatika kwa wiki moja kila mwenzi kwa muda wa mienzi mitatu "Kupata offa hii wateja wetu watatakiwa kuweka muda wa maongezi wa kiasi cha shilingi 1000 mara wanaponunua simu ya Nokia Lumia 620. Na katika kuthibitisha thamira yetu ya kutoa huduma zinazoendana nathamani ya pesa ofa hii itadumu kwa muda wa mienzi mitatu.Airtel itaendelea kushirikiana na makampuni mbalimbali katika kutoa huduma bora na bei nafuu kwa kupitia mtandao wake mpana wenye huduma muhimu za Airtel Money na huduma yetu kabambe ya Airtel yatosha Aliongeza Mmbando.Kwa upande wake Meneja Biashara wa Nokia Nchini Tanzania Samson Majwala, alisema kampuni ya Nokia inaendelea kuonyesha kwa vitendo dhamira yake ya kutoa bidhaa za simu bora zitakazowapatia wateja kile wanachokihitaji.
Tunafurahia kuleta bidhaa bora na za bei nafuu zenye uwezo tofauti, simu ya Nokia Lumia 620katika soko la Tanzania. Tunaamini muundo mzuri wa simu hii, rangi nzuri na uzoefu tofauti pamoja na huduma za Airtel zitawapatia wateja wetu sababu ya kujipatia simu hii ya Nokia Lumia" "Nokia Lumia 620 zinapatikana kwa gharama ya shilingi 450,000/= tu.Simu inapatikana katika maduka yote ya Airtel, midcom na wakala wa Nokia wa premium. kwa sasa, kinachotakiwa kufanya ni wewe mtanzania kutembelea moja kati ya haya maduka na kujipatia simu hii orijino kutoka Nokia.Kutokana na ubora wa simu hizi za Nokia Lumia 620 mteja ataweza kufurahia zaidi huduma zote za kimtandao za Airtel zikiwemo zile za kutuma na kupokea pesa, Airtel Yatosha, Jirushe, kutuma na kupokea
SMS, huduma bora ya Intaneti ya 3.75G na nyingi nyinginezo.