This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

Sunday, March 2, 2014

Magazetini leo Jumapili March 02 2014

...

Matokeo ya mchezo wa Yanga vs Nacional Al Ahly

Klabu bingwa ya Tanzania bara Dar Young Africans leo imefanikiwa kushinda mchezo wa kwanza wa hatua ya raundi ya pili CAF Champions League dhidi ya mabingwa watetezi wa kombe hilo Nacional Al Ahly ya Egypt. Mchezo huo uliopigwa katika dimba la uwanja wa taifa Dar es Salaam uliotawalia kwa kiasi kikubwa na Yanga ambao walipoteza nafasi nyingi katika kipindi cha kwanza na mpaka timu zinaenda mapumziko hakuna timu iliyoweza kuona lango la...