Home »
» BODI YA UTALII YASAINI MKATABA NA WAANDAAJI WA ONESHO LA UTALII LA INDABA AFRIKA KUSINI, KUANZISHA ONESHO LA SWAHILI TOURISM FAIR NCHINI

Mwenyekiti
wa Bodi ya Wakurugenzi Bodi ya Utalii Tanzania TTB Balozi Charles Sanga
katikati wa tatu kutoka kulia, Mkurugenzi wa Bodi ya Utalii Tanzania
Dk. Aloyce Nzuki kushoto na Zaida Enver Mkurugenzi Mtendaji wa Witch
& Wizard Creative (PYT) Ltd wakisaini mkataba wa makubaliano ya
kuanzisha onesha la Utalii litakalojulikana kwa jina la Swahili Tourism
Fair kwenye ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es salaam, ambalo kwa mara
ya kwanza litafanyika nchini Tanzania kwenye ukumbi huohuo wa Mlimani
City Dar es salaam kuanzia Oktoba 2-5 mwaka huu, Wanaoshuhudia tendo
hilo la kusainiwa kwa mkataba huo nyuma ni Mh. Thanduyise Hery Chiliza
Balozi wa Afrika Kusini nchini Tanzania na kulia ni Ian Kaduma
Mwanasheria wa Bodi ya Utalii Tanzania TTB Kampuni ya Witch & Wizard
Creative (PYT) Ltd Pia ndiyo inayoandaa maonyesho makubwa ya utalii
nchini Afrika Kusini yanayojulikana kama Indaba
Guido
Ceruti Mkurugenzi wa Fedha wa kampuni ya Witch& Wizard Creative
(PYT) Ltd akisaini mkataba huo huku Mh Thanduyise Hery Chiliza Balozi wa
Afrika Kusini nchini Tanzania akishuhudia tukio hilo kushoto ni Ian
Kaduma Mwanasheria wa TTB
Related Posts:
UTAMBULISHO WA USIKU WA HIP HOP & FAINALI ZA VODACOM MIC KING KWA WANAHABARI
Meneja
Matukio wa Dar Live, Abdallah Mrisho (wa pili kushoto) akiongea na
wanahabari (hawapo pichani) wakati wa utambulisho huo. Wengine pichani
kutoka kushoto ni DJ John Dilinga (JD), Prodyuza Ally Baucha na Prodyu… Read More
PROFESA JAY AJIUNGA NA CHADEMA TAYARI KWA KUENDELEZA MAPAMBANO YA KISIASA KAMA MKONGWE SUGU
Rapper mkongwe nchini, Joseph Haule aka Profesa Jay amejiunga rasmi na Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA.
Profesa amekabidhiwa kadi ya uanachama wa CHADEMA na mbunge wa Mbeya
mjini, Joseph Mbilin… Read More
TUNDU LISSU NA ANNE KILANGO NUSURA WACHAPANE MAKOFI BUNGENI
Baada ya Bunge kuahirishwa jana, nje ya
ukumbi hali haikuwa nzuri baina ya Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu
Lissu na Mbunge wa Same Mashariki (CCM), Anne Kilango Malecela.Mtafaruku
huo uliibuka baada ya Kilango kusiki… Read More
MICHUANO YA SAFARI LAGER HIGHER LEANING NATIONAL POOL CHAMPIONSHIP KUANZA RASMI KESHO JIJINI MWANZA
Meneja
wa Matukio wa bia ya Safari mkoa wa Mwanza Bernad Nahum (kushoto)
akizungumza na waandishi wa habari ambapo pia alitumia fursa hiyo
kukabidhi jezi kwa washiriki, kulia ni captein wa timu ya SAUT Jimmy
Nikitas, &n… Read More
GODBLESS LEMA AUMBUKA....VODACOM WADAI KWAMBA ULE UJUMBE WA VITISHO HAUKUTOKA KWA MKUU WA MKOA
KAMANDA
wa Polisi wa Mkoa wa Arusha, Liberatus Sabas, amedai kuwa uchunguzi wa
awali kuhusu ujumbe unaodaiwa kutumwa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Magesa
Mulongo, umetumwa na mtandao wa simu wa nje ya nchi.
Kamanda
alise… Read More
0 comments:
Post a Comment