This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

Thursday, February 6, 2014

PICHA YA MTOTO WA SHAKIRA KWA FANS WAKE .....

This is cute!!!!  Shakira and her husband Gerald Pique welcomed a baby boy some weeks ago and they named him Milan Pique! ...

"SIDHANI KAMA USHIRIKINA UNAFAIDA KATIKA MUZIKI"...POMMY DIMPOZZ

Baada ya taarifa kuenea katika mitandao kuhusu Diamond anatumia mganga wa jadi katika kazi zake za muziki....   Leo kupitia Clouds Fm double XXL katika jiwe la wiki rafiki yake wa karibu 'Ommy Dimpoz' aliweza kusema kwa upande wake hadhani kama vitu vya ushirikina vinaleta faida katika upande wa muziki na wala hajawahi kujihusisha navyo maishani mwake. Swali:Mara ya mwisho baada ya kukutana na Diamond Platinum hamjawahi kuzungumzia...

HIVI NDIVYO MATUMAINI ALIVYOPOKELEWA JIJINI DAR

   Matumaini (katikati) akisaidiwa na wasanii wenzake muda mfupi baada ya kutua.     Bi. Mwenda akiwa amembeba Matumaini mgongoni.     Matumaini (kulia) akiwa na Bi. Mwenda (wa pili kushoto) na anayefuata (kushoto) ni msanii mwenzake Kiwewe wakisubiri gari la kumpeleka hospitali.     Askari wakiwaelekeza wasanii kukaa upande mmoja ili apate hewa.     Matumaini...

Mshuhudie Shilole akiwa ndani ya vazi la Kanga moja kitandani….

STAA wa mduara Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’  ameamua  kuachia  picha  adimu  akiwa  kitandani  na  kanga  moja  tu  bila  chochote  kama  ishara  ya  kuwashukuru  mashabiki  wake  kwa  sapoti  kubwa  ambayo  wamekuwa  wakimpa  na  kumfanya  awe  juu  kimuziki… Domo  langu  limefanikiwa ...

Wafahamu vijana 10 wa kitanzania wenye mvuto zaidi hapa nchini

Siku hizi ni tofauti kabisa na zamani  ambapo tumezoea kuona watu wazima/wazee peke yao ndio watu wenye uwezo mkubwa na nguvu sana kwa hapa Tzee,siku zinavyozidi kuendelea mambo yanazidi kubadilika na siku hizi vijana ndio watu wanao-hustle juu chini kuweza kupata success hata zaidi ya wazee wao waliotangulia,kwa hapa Tzee tumeweza kupata baadhi ya vijana maarufu ambao ni most powerful na wenye influence kubwa kwa vijana wenzao. Diamond...

Mbunge Chadema Kortini vurugu za Udiwani Kahama

Mbunge wa Jimbo la Maswa Mashariki (Chadema), Sylvester Kasulumbayi Kahama. Mbunge wa Jimbo la Maswa Mashariki (Chadema), Sylvester Kasulumbayi na Diwani wa Kata ya Buselesele, Crispian Kagoma na watu wengine 14 wamepandishwa kizimbani kwa tuhuma za kujeruhi katika vurugu zilizoibuka katika kampeni za uchaguzi mdogo wa udiwani wilayani Kahama mkoani Shinyanga. Kasulumbayi na wenzake 15, ambao wanaaminika kuwa wanachama wa Chama...

FAMILIA KUMINA TANO HAZINA MAHALA PAKUISHI GEREZA PAWAGA

 Ofisi za Gereza Pawaga zilizo ezuliwa na upepo mkali ulio ambatana na mvua juzi jioni.  Sehemu ya masalia ya bati na matandiko yalio haribiwa na mvua  SACAP Deusdedit Kamugisha Afisa wa Magereza Mkoa wa Iringa pichani kulia akiongozana na Mkuu wa gereza Pawaga SP.Sosthenes Mwakapala akikagua uharibifu ulio jitokeza katika nyumba za askari na majengo wanayo tarajia kuhamia kwamuda.  Bustani ikiwa imeharibiwa...

MSAMBINUNGWA” by TUNDA MAN feat ALLY KIBA

MSAMBINUNGWA” by TUNDA MAN feat ALLY KIBA (Photo’s) The Making of music Video “MSAMBINUNGWA” by TUNDA MAN feat ALLY KIBA - See more at: http://onelovetz.blogspot.com/2014/01/photos-making-of-music-video.html#sthash.txPgpp0o.dpuf ...

Nini hatma ya kesi ya Kenyatta ICC?

Pande zinazohusika katika kesi inayomkabili Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta kwenye mahakama ya kimataifa ya ICC Mjini The Hague zimekuwa na kikao cha kujadili mstakabali wa kesi hiyo. Kiongozi wa mashtaka wa ICC Fatou Bensouda amekiri kuwa bado hana ushahidi wa kutosha kuwezesha kesi hiyo kuendelea. Mawakili wanaomwakilisha Rais Kenyatta wanataka kesi hiyo kuhusiana na ghasia za baada ya uchaguzi wa Kenya mwaka 2007 itupiliwe mbali. Bensouda...