This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

Friday, March 29, 2013

MUUAJI WA PADRE MUSHI - ZANZIBAR AMEKAMATWA LEO

  Father Evalist Mushi enzi za uhai wake Mtu anaesadikiwa kuwa ndie muuaji wa aliyekuwa Padre Evalist Mushi wa kanisa katoliki, visiwani zanzibar, amekamatwa leo alasili maeneo ya kariakoo, zanzibar. Jeshi la polisi limethibitisha kukamatwa kwa mtuhumiwa huyo, na kwenda nae kituo cha polisi kwa ajili ya mahojiano zaidi. Padri Mushi aliuwawa kwa kupigwa risasi mwezi uliopitwa wakati akiwa kwenye gari lake kuelekea kanisani...

HUYU NDO BINTI ALIYECHEZEA KICHAPO KUTOKA KWA MPENZI WAKE BAADA YA KUBUSU KIFUA CHA DIAMOND JANA

Dada Huyu Akiwa kwenye show ya Diamond alinyanyuka na kwenda kubusu kifua cha diamond,baada ya hapo alichezeya kichapo toka kwa jamaa yake baada ya kujisikia vibaya na hicho kitendo...  Binti uzalendo ulimshinda, akaenda kumnyonya matiti DiamondBinti huyo akilia baada ya kuvutwa na kuchezea kichapo kutoka kwa bwana wake  Binti alipokua kwenye show ya Diamond, uzalendo ulimshinda, akaenda kunyonya chuchu za diamond...

RAIS KIKWETE AWAONGOZA VIONGOZI KUMUAGA ALIYEKUWA MBUNGE WA CHAMBANI, SALIM HEMED KHAMIS

Rais Jakaya Kikwete, Makamu wake Dkt. Mohammed Gharib Bilal, Waziri Mkuu Mizengo Pinda, Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowasa, na viongozi wengine wakishiriki shughuli ya kuaga mwili wa marehemu Salim Hemed Khamis, aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Chambani Visiwani Pemba kupitia CUF, aliyefariki jana mchana katika Hospitali ya Taifa Muhimbili. … Rais Jakaya Kikwete, Makamu wake Dkt. Mohammed Gharib Bilal, Waziri Mkuu Mizengo Pinda, Waziri Mkuu...

SERIKALI YATANGAZA NAFASI ZA KAZI 1,134

0 Comments 0 Likes SERIKALI kupitia Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma inawatangazia Watanzania wenye sifa na uwezo kujaza nafasi wazi za kazi kama zilivyo katika Tangazo la Lugha ya Kiingereza...

HIVI NDIVYO GHOROFA LILIVYOANGUKA POSTA JIJINI DAR

    Hiki ndicho kifusi cha jengo hilo lililokuwa limefikia ghorofa ya 15.     Winchi likiokoa mabaki ya moja ya gari lililoangukiwa na kifusi.…     Hiki ndicho kifusi cha jengo hilo lililokuwa limefikia ghorofa ya 15.     Winchi likiokoa mabaki ya moja ya gari lililoangukiwa na kifusi. VIDEO IKIONYESHA JINSI JENGO LILIVYOANGUKA JIJINI DAR LEO.    Rais Jakaya Kikwete...

RECHO: SINA UHAKIKA WA KUOLEWA NA SAGUDA

Stori: Gladness MallyaMSANII wa filamu Bongo, Rachel Haule ‘Recho’ amefunguka kuwa japokuwa wamekaa kwenye uhusiano wa kimapenzi kwa muda mrefu na mpenzi wake George Saguda bado hana uhakika kama ndiye atakayemuoa.  Akichonga na paparazi wetu, Recho alisema kuwa kutoka moyoni anampenda Saguda na anatamani siku moja awe mume wake ila kufanikiwa wao kuoana anamuachia Mungu kwani ndiye anayepanga kila jambo “Suala la ndoa namuachia...
Taarifa zilizotufikia ni kwamba jengo lenye ghorofa 16 lililokuwa bado linaendelea kujengwa katika makutano ya barabara ya Indira Gandhi na Morogoro jirani na Burhani limeanguka. Inasemekana katika jengo hilo kulikuwa na watu takribani 60 ambao wanahofia kupoteza maisha. Taarifa kamili zitawajia hivi punde.   ...

MSANII MAARUFU AMFUMANIA,ANYWA SUMU

Na Mwandishi Wetu MCHEKESHAJI wa Kundi la Mizegwe, Rashid Coster ‘Maringo Saba,’ anadaiwa kumfumania mkewe anayefahamika kwa jina la mama Zai kisha kuamua kunywa sumu ikisemekana kuwa alitaka kujiua kwa hasira. Chanzo makini kilichoomba hifadhi ya jina kimenyetisha kuwa, Maringo Saba...