Father Evalist Mushi enzi za uhai wake
Mtu
  anaesadikiwa kuwa ndie muuaji wa aliyekuwa Padre Evalist Mushi wa 
kanisa  katoliki, visiwani zanzibar, amekamatwa leo alasili maeneo ya  
kariakoo, zanzibar.
Jeshi la polisi limethibitisha kukamatwa kwa mtuhumiwa huyo, na kwenda nae kituo cha polisi kwa ajili ya mahojiano zaidi.
Padri
 Mushi aliuwawa kwa kupigwa risasi mwezi uliopitwa wakati akiwa kwenye  
gari lake kuelekea kanisani kwenye ibada ya jumapili.








0 comments:
Post a Comment