Taarifa
 zilizotufikia ni kwamba jengo lenye ghorofa 16 lililokuwa bado 
linaendelea kujengwa katika makutano ya barabara ya Indira Gandhi na 
Morogoro jirani na Burhani limeanguka. Inasemekana katika jengo hilo 
kulikuwa na watu takribani 60 ambao wanahofia kupoteza maisha. Taarifa 
kamili zitawajia hivi punde.
 
 
 
 
          
      
 
  
 
 
 
  
0 comments:
Post a Comment