This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

Wednesday, February 26, 2014

Al Ahly watua Dar na vyakula, maji

WAPINZANI wa Yanga katika mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, Al Ahly ya Misri wameonyesha wamepania kuhakikisha hawapotezi mchezo wa Jumamosi baada ya kutua nchini na maji na baadhi ya vyakula ambavyo watapikiwa wachezaji wao. Habari za uhakika kutoka Cairo, zimeeleza Ahly wamebeba chupa za maji, baadhi ya vyakula na kazi hiyo itafanywa na mpishi wao maalum raia wa… WAPINZANI wa Yanga katika mechi...

Alphonce Mawazo Meneja Kampeni wa Mgombea wa Chadema Kalenga, Achukua Nafasi ya Lema

Alphonce Mawazo, Kamanda wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Picha na Arusha Times) Arusha255 inaweza kuthibitisha uteuzi mpya wa Ndugu Alphonce Mawazo kama meneja kampeni za kumnadi mgombea wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Bi Grace Tengega Mvanga katika uchaguzi mdogo wa ubunge unaotarajiwa kufanyika Machi 16, 2014 katika Jimbo la Kelenga Mkoani Iringa kwa lengo la kumpata mbunge atakayewakilisha wana Kalenga baada ya...

SLAA AWANG'AKIA VIONGOZI WA SERIKALI!!

Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Wilbrod Slaa amesema tatizo la umaskini linalowakabili Watanzania, linatokana na viongozi walioko madaraka kutokuwa waadilifu. Alisema Tanzania ni nchi iliyojaaliwa rasilimali nyingi ambazo kama zikisimamiwa vyema taifa haliwezi kuwa na watu maskini kama ilivyo hivi sasa. Dk Slaa alitoa kauli hiyo jana wakati akizungumza kwenye mikutano ya kampeni iliyofanyika katika Vijiji vya Igula katika Kata...