This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

Friday, February 28, 2014

Benki ya Dunia yaisimamishia Uganda msaada

Benki ya dunia imesitisha mkopo wa dola milioni 90 kwa Uganda wa kuimarisha sekta ya afya kufuatia kupitishwa kwa sheria inayoharamisha ushoga na kutoa adhabu kali kwa watakaopatikana na hatia Hatua hiyo ya benki ya dunia haikutarajiwa na wengi kwani taasisi hiyo mara nyingi hujiepusha kuingilia masuala ya ndani ya kisiasa ya nchi wanachama au kuhusiana na masuala kama haki za mashoga, kuepuka kuzishurutisha...

BANZA: NILIANZA SIGARA, BANGI, UNGA ILA SASA…

MWIMBAJI mkongwe wa muziki wa dansi nchini, Ramadhan Masanja ‘Banza Stone’ amefunguka mazito juu ya matumizi mabaya ya bangi na madawa ya kulevya ikiwa ni pamoja na jinsi alivyokuwa akiyatumia. Akizungumza kupitia Kipindi cha Mtu Kati cha Global TV Online mwanzoni mwa wiki hii, Banza alikiri kutumia madawa ya kulevya na kusema; “Nilianza kuvuta sigara ya...

Real Madrid yaisulubu Schalke 04

Na Fadhy Mtanga REAL Madrid imejihakikishia kucheza robo fainali ya michuano ya Ligi ya Mabingwa barani Ulaya baada ya kuitandika Schalke 04 ya Ujerumani mabao 6-1. Mchezaji bora wa dunia, Cristiano Ronaldo, mchezaji aliyevunja rekodi ya usajili ulimwenguni Gareth Bale pamoja na mchezaji mahiri Karim Benzema walihakikisha kila mmoja wao anatupia nyavuni magoli mawili ili kuifanya Real Madrid, vinara wa ligi kuu nchini Hispania,...

STEVE NYERERE AMWAGIA SIFA LULU

Stori: Mayasa Mariwata RAIS wa Bongo Movie Unit, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ amemmwagia sifa staa wa filamu Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ kuwa ni binti mdogo lakini sasa anajitambua tofauti na wasanii wengine wakubwa. Elizabeth Michael ‘Lulu’. Akipiga stori na Ijumaa Steve alisema kuwa, mbali na umakini katika kazi zake za kisanii, sasa hivi yuko makini...

RED HANDED! NJEMBA AUVAA MTEGO AKIWA NA MKE WA RAFIKI YAKE GESTI

  MAANDIKO yanasema ‘usitamani mali ya mtu mwigine’! Ni kweli kabisa, onyo hilo lilichukua fursa yake kufuatia njemba mmoja aliyejulikana kwa jina la Anton John Mwaweje kunaswa laivu gesti na mke wa rafiki yake aliyefahamika kwa jina moja la Chalz. Mke wa mtu sumu: Anton John Mwaweje baada ya kunaswa akiwa na mke wa rafiki yake gesti. Tukio hilo lilijiri mwanzoni mwa wiki hii kwenye gesti moja...

WASANII WAZINDUA KAMPEINI KUHAKIKISHA MAPENDEKEZO YAO KIKATIBA YANASIKILIZWA

Wasanii mbalimbali wakifuatilia kuhusiana na katiba iliyokataliwa kusikilizwa. Kaimu Katibu Mtendaji wa Baraza la sanaa (BASATA), Godfrey Lebejo Mngereza akihutubia wasanii.… Wasanii mbalimbali wakifuatilia kuhusiana na katiba iliyokataliwa kusikilizwa. Kaimu Katibu Mtendaji wa Baraza la sanaa (BASATA), Godfrey Lebejo Mngereza akihutubia wasanii. Wana Hip hop kutoka kushoto, Danny Msimamo, Quick Racka, Profesa Jay, Nikki wa Pili na Kala...

WANACHAMA WA SACCOS YA WALIMU KILOLO WATAKIWA KUREJESHA MADENI

Afisa  ushirika mkoa  wa Iringa John Kiteve  akifungua mkutano huo   Mwakilishi wa CRDB Iringa akifuatilia matukio  katika mtandao huu  Mwakilishi wa benk ya CRDB Iringa Bw Bruno  akiwahamasisha  kujiunga na bima mbalimbali   Afisa ushirika mkoa wa Iringa John Kiteve akifungua mkutano mkuu wa Saccos ya  Walimu Kilolo leo Na  Francis Godwin Blog WANACHAMA...