This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

Saturday, March 23, 2013

Taswira Kutoka Unyaluni

Mambo ya Analogia+Digitali , Picha ni mtaa wa Mwembetogwa mkoani Iringa Inyeshe isinyeshe ulanzi utaletwa tu mjini Iringa Matunda Kwa afya:--Pichani ni mjasiriamali  na mteja wa matunda eneo la miyomboni...

Magazeti Leo jumamosi

. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . ...

Waziri Sitta awaanika wabunge wa Afrika Mashariki kuhusu posho

Na: Gustav Chahe, Iringa MTU mmoja amenusurika katika ajali baada ya gari alilokuwa akisafiria kuacha njia na kutumbukia kwenye mtaro wa maji. Ajali hiyo imetokea majira ya saa 11 alfajiri katika barabara ya Iringa – Dodoma maeneo ya Sabasaba katika Manispaa ya Iringa ambapo gari lenye namba za usajili T 287 AAG Prado limetumbukia kwenye mtaro kwa kile kilichoelezwa kuwa chanzo cha ajali hiyo ni hitilafu katika maungio ya...

ANUSURIKA KIFO AJALINI- Iringa

Na: Gustav Chahe, Iringa MTU mmoja amenusurika katika ajali baada ya gari alilokuwa akisafiria kuacha njia na kutumbukia kwenye mtaro wa maji. Ajali hiyo imetokea majira ya saa 11 alfajiri katika barabara ya Iringa – Dodoma maeneo ya Sabasaba katika Manispaa ya Iringa ambapo gari lenye namba za usajili T 287 AAG Prado limetumbukia kwenye mtaro kwa kile kilichoelezwa kuwa chanzo cha ajali hiyo ni hitilafu katika maungio ya...

PUMZIKA KWA AMANI CHINUA ACHEBE

Mwandishi Maarufu wa vitabu duniani Chinua Achebe amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 82. Msemaji wa jimbo la Anambra nchini Nigeria Mike Uda ameiambia BBC kuwa wanaomboleza kifo cha wanayemwita mtoto wa taifa la Nigeria na Afrika kwa ujumla.Chinua Achebe alizaliwa mwaka 1930, miaka 30 kabla ya Nigeria kupata uhuru. Taarifa iliyotolewa kwa niaba ya familia yake, imemwelezea Chinua Achebe...

Zitto Kabwe: TaifaStars ninyi ndio tumaini letu kubwa

  TaifaStars ninyi ndio tumaini letu kubwa wakati huu nchi yetu imejaa changamoto nyingi na kukata tamaa. Wakati Umoja wa Taifa upo mashakani, ninyi mnatufanya tuvae na kupeperusha Bendera yetu nzuri ya Taifa. Dakika tisini uwanjani Tanzania inakuwa moja, ushindi hutupa fahari kubwa na kusahau vyama vyetu, Dini zetu, madaraja ya Maisha nk. Ingieni uwanjani Kwa ufahari mkubwa. Tupeni raha #TaifaStars #TZBrazil2014 Nimezungumza ...