This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

Saturday, March 30, 2013

HABARI ZILIZOPO KATIKA MAGAZETI YA LEO

. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . ...

MAHAKAMA YASEMA Uchaguzi Kenya ulikuwa huru na wa haki

Willy Mutunga rais wa mahakama ya juu zaidi Kenya Mahakama ya juu zaidi nchini Kenya, imeamua kuwa rais mteule Uhuru Kenyatta atasalia kuwa rais mpya wa Kenya baada ya kusema kuwa uchaguzi ulifanywa kwa njia huru na ya haki. Uchaguzi wenyewe ulifanyika tarehe nne mwezi Machi, ambapo hesabu ya kura ilimpa ushindi Kenyatta kwa zaidi ya laki nane. Rais wa mahakama hiyo jaji mkuu Willy Mutunga alisema kuwa...

MAUNO YA AUNTY LULU NUSURA YAUE

Na: Gladness Mallya SI mnalikumbuka lile wowowo la Lulu Mathias Semagongo au Aunty Lulu? Si mnakumbuka jinsi  mwenyewe anavyolisifia kwamba analipenda sana na siku akiamka akakuta halipo atakwenda kwa mchungaji aombewe? Sasa safari hii nusura liue. Twende pamoja.… Na: Gladness Mallya SI mnalikumbuka lile wowowo la Lulu Mathias Semagongo...

PINDA ATEMBELEA GHOROFA LILILOPOROMOKA DAR

Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwasili leo katika jengo lililoporomoka jana Kamanda Suleiman Kova akimpa maelezo Mh. Pinda na viongozi wengine Mtunzi Maarufu Eric Shigongo (kushoto) akiwasili eneo la… Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwasili leo katika jengo lililoporomoka jana Kamanda Suleiman Kova akimpa maelezo Mh. Pinda na viongozi wengine Mtunzi Maarufu Eric Shigongo (kushoto) akiwasili...