This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

Saturday, March 2, 2013

ziara ya mwenyekiti wa uvccm taifa morogoro

Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Hamis Sadifa Vijana machacahari Mtela Mwampamba na Juliana Shonza walioihama Chadema hivi karibubi, wakiserebuka nje ya Ofisi ya CCM mkoa wa Morogoro, baada ya msafara wa Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Taifa,  Sadifa Hamis Juma kuwasili kwenye ofisi hiyo, Februari 28, 2013 kuanza ziara ya siku tatu mkoani humo.   Mwenyekiti wa UVCCM mkoa wa Morogoro Herieth Sutta...

TCU INAHUSIKA JE NA UBOVU WA MATOKEO YA KIDATU CHA NNE

Hoyce Temu akifundisha katika moja ya shule huko Iringa hivi karibuni alipokuwa huko kuandaa vipindi vya mimi na Tanzania Tume ya vyuo vikuu Tanzania (TCU) inatakiwa isibakie tu kuthibitisha kuwepo kwa vyuo vikuuhapa nchini, bali pia iwe ndiyo tume pekee inayosimamia na kuiandaa mitaala ya vyuo vikuuvyote hapa nchini. TCU inatakiwa iwe sehemu ambayo kutakuwepo na jopo la maprofesa wakila fani ambao watatayarisha mitaala ya kila somo na kila...