Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na uongozi wa juu wa Jeshi la Kujenga
Taifa (JKT) jijini Dar es salaam alipotembelea leo February 27, 2013.
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe. Vuai Shamsi Nahodha,
Mkuu wa Majeshi Jenerali Davies Mwamunyange pia walihudhuria.
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akipokea zawadi ya saa toka kwa Mkuu wa Jeshi la
Kujenga Taifa (JKT), Meja Jenerali Raphael Muhuga huku Waziri wa
Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe. Vuai Shamsi Nahodha, Mkuu wa
Majeshi Jenerali Davies Mwamunyange wakishuhudia. Saa hiyo imeandaliwa
na makamanda wa JKT kumpongeza Rais Kikwete kwa kurejesha mafunzo ya
jeshi la ulinzi kwa mujibu wa sheria kuanzia mwaka huu.
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na kada mbalimbali za
Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) alipotembelea leo February 27, 2013.
Wednesday, February 27, 2013
Home »
» RAIS KIKWETE ATEMBELEA MAKAO MAKUU YA JKT JIJINI DAR ES SALAAM LEO
RAIS KIKWETE ATEMBELEA MAKAO MAKUU YA JKT JIJINI DAR ES SALAAM LEO
Related Posts:
Clouds Media Group yazindua msimu wake mpya kwa kishindo Mbunge wa Jimbo la Kigoma Kaskazini,Mh Zitto Kabwe ambae pia ni mdau kubwa wa Muziki hapa chnini,pia alikuwa ni mmoja wa wazungumzaji kwenye semini hiyo iliyohusu na harakati rasmi za vita dhidi ya uharamia … Read More
MWIZI KWA KUTUMIA BODABODA AUAWA! Na Makongoro Oging'KIJANA mmoja ambaye jina lake halikuweza kupatikana mara moja anayedaiwa ni mzoefu wa wizi kwa kutumia usafiri wa pikipiki ‘bodaboda’, ameuawa baada ya kumliza mwanamke aliyetambulika kwa jina la Jusmini… Read More
PICHA 5 ZA WANAFUNZI WA MANZESE WALIOVAMIWA NA MASHETANI LEO ASUBUHI Wanafunzi wa shule ya Sekondari Manzese iliyopo Manzese Uzuri, jijini Dar es Salaam wamevamiwa na mashetani na kuanguka hovyo darasani huku wakipiga kelele na kuongea maneno yasiyoeleweka na kusababisha hofu kutanda mae… Read More
MWANAMKE AUAWA KWA KUPIGWA RISASI KIFUANI NA MAJAMBAZI JIJINI DAR Majambazi yamempora mama mmoja kiasi cha shilingi milioni kumi na kutokomea kusikojulikana.... Tukio hilo limetokea leo saa 5:16 jioni na inavyosemekana ni kuwa mwanamke huyo alik… Read More
KASHIFA YA NGONO YALITAFUNA BUNGE LETU....WABUNGE WADAIWA KUBEBANA NA KUPEANA MIMBA SKENDO nzito inalitafuna Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ikitawala madai kwamba kuna wabunge wawili wanawake, wamejazwa mimba na waheshimiwa wenzao wanaume. Awali, ulitawala uvumi kuwa mmoja wa wabun… Read More
0 comments:
Post a Comment