Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na uongozi wa juu wa Jeshi la Kujenga
Taifa (JKT) jijini Dar es salaam alipotembelea leo February 27, 2013.
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe. Vuai Shamsi Nahodha,
Mkuu wa Majeshi Jenerali Davies Mwamunyange pia walihudhuria.
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akipokea zawadi ya saa toka kwa Mkuu wa Jeshi la
Kujenga Taifa (JKT), Meja Jenerali Raphael Muhuga huku Waziri wa
Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe. Vuai Shamsi Nahodha, Mkuu wa
Majeshi Jenerali Davies Mwamunyange wakishuhudia. Saa hiyo imeandaliwa
na makamanda wa JKT kumpongeza Rais Kikwete kwa kurejesha mafunzo ya
jeshi la ulinzi kwa mujibu wa sheria kuanzia mwaka huu.
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na kada mbalimbali za
Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) alipotembelea leo February 27, 2013.
Wednesday, February 27, 2013
Home »
» RAIS KIKWETE ATEMBELEA MAKAO MAKUU YA JKT JIJINI DAR ES SALAAM LEO
RAIS KIKWETE ATEMBELEA MAKAO MAKUU YA JKT JIJINI DAR ES SALAAM LEO
Related Posts:
ASANTE FAMILIA YA MAREHEMU KANUMBA KWA HII TUZO. Jana April 7 2013 bila kufahamu kitakachotokea nilikwenda viwanja vya Leaders kwa ajili ya kupiga picha na kuchukua habari kwa ajili ya AMPLIFAYA ya Clouds FM na millardayo.com ambapo nilipokua kwenye stage na Camera ya… Read More
RAIS KIKWETE AWASILI NAIROBI KENYA KUSHUHUDIA KUAPISHWA KWA RAIS UHURU KENYATTA Rais Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe mama Salma Kikwete wakilakiwa kwa heshima zote baada ya kutua katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta jijini Nairobi tayari kuhudhuria sherehe za kuapishwa kwa… Read More
CHID BENZ AZINGUANA NA PRODUCER LUCCI BAADA YA KUTAKA KUREKONDI WIMBO BURE Rapper Chidi Benz na producer Lucci wameingia kwenye mgogoro baada ya kutofautiana katika makubaliano ya wimbo walioufanya pamoja. Chidi anamlaumu Lucci kwa kubadilisha msimamo wake ambapo alidai kumfanyia wimbo huo… Read More
MWANAMKE AVULIWA NGUO ZOTE BAADA YA KUINGIA STENDI YA MABASI AKIWA NA SKETI FUPI NYEPESI Biahara zote zilisimama kwa muda katika stendi kuu ya mabasi ya Bomet nchini kenya wikiendi hii baada ya kundi … Read More
PICHA: LULU MICHAEL, MAMA YAKE NA MAMA KANUMBA WATEMBELEA KABURI LA MAREHEMU KANUMBA Muigizaji Lulu, mama yake, na mama mzazi wa marehemu Steven Kanumba walikua miongoni mwa watu walioshiriki katika misa ya kumbukumbu ya mwaka mmoja tangu marehemu Kanumba afariki dunia, na kutembelea kaburi la … Read More
0 comments:
Post a Comment