Saturday, June 22, 2013

SHOW YA MIAKA 13 YA KIKOSI CHA MIZINGA JANA VIWANJA VYA MSASANI CLUB DAR

Mashabiki wakiwa mzukaa mbaya
Chidi Benz akifanaya yake
Ilikuwa aibu Babu…
Mashabiki wakiwa mzukaa mbaya
Chidi Benz akifanaya yake
Ilikuwa aibu Babu
hayaaaa
afande Sele akikinukisha kwa hisia stegini
Mashabiki waki enjoy show ya miaka 13 ya kikosi cha mizinga
Songa akiwa kwa steji akifanya yake
Kalapina akifanya mambo kwenye stegi
Tabla akifanya yake kwa steji            Mashuati kwenye stage wakionyesha ujuzi wa karate raha kwelii                       Haya sasa Man 2 Man Battle nichane nikupasue                             Ohhh usiogope jamaa hapigwiiii ila ni mizuka ya battle man 2 man
Kundi la Kiokosi cha Mizinga limefanya show ya kutimiza miaka 13 tangu lianzishwe
Show hiyo iliyo hudhuliwa na mashabiki kibao wa hip hop wa Jijini Dar es salaam.
Onyesho hilo lilifanyika usiku wa kuamkia leo na kuhudhuliwa na wasanii wa muda mrefu sana waliopotea katika mziki huo wakiwemo Member wa Kundi la Wateule,Mark 2 Be aka Simba wa kundi la Big Dogg Poz

Related Posts:

  • MSANII MATONYA AFIKISHWA MAHAKAMANI HUKO SONGEA KWA TUHUMA ZA UTAPELI....HUU NDO MKASA WAKE Msanii Matonya  amekamatwa kutokana na kufanya utapeli katika show aliyotakiwa kufanya katika ukumbi wa Jambolee uliopo manispaa ya Songea mkoani ruvuma.  Taarifa  zinadai  kuwa  Matonya&n… Read More
  • MREMBO ACHINJWA Issa Mnally na Makongoro Oging' MREMBO aliyejulikana kwa jina la Pepetua Maina au maarufu kama Lucy, Mkikuyu wa Kenya anayekadiriwa kuwa na miaka 25 mpaka 30 am… Read More
  • MAPOKEZI YA MWILI WA ALBERT MANGWEHA, JIJI LAZIZIMA Mwana Hip Hop, Farid Kubanda 'Fid Q' akielezea jambo wakati msafara ukielekea Muhimbili. Adam Juma (mbele) na Jay Mo wakielekea kuupokea mwili wa Mangweha.… Mwana Hip Hop, Farid Kubanda 'Fid Q' akielezea jambo wakati msa… Read More
  • AIRTEL RISING STARS 2013 YAIVA Meneja Uhusiano wa Airtel Tanzania, Bw. Jackson Mmbando, akiongea na makatibu wakuu wa mikoa na waandishi wa habari wakati wa ufunguzi wa semina elekezi ya Airtel Rising Stars iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa … Read More
  • BALAA ZITO! Dawa za kulevya. Kuhusu uvumi, vitu viwili vinavyotajwa sana ni ama kifo chake kilisababishwa na kuchanganya madawa ya kulevya pamoja na vilevi vingine, hivyo kutengeneza sumu iliyomuua au alibeba mzigo wa unga tumboni am… Read More

0 comments: