Wanenguaji wa kiume wa Extra Bongo wakionesha mautundu yao.
Wanenguaji wa kike wa Bendi ya Extra Bongo wakifanya yao jukwaani kusindikiza uzinduzi huo.
Warembo hao wanatarajia kuungana na wenzao ambao wanatarajiwa kufanyiwa usahili hivi karibuni katika mikoa ya Tanga na Morogoro.
0 comments:
Post a Comment