This is default featured slide 1 title
Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.
This is default featured slide 2 title
Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.
This is default featured slide 3 title
Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.
This is default featured slide 4 title
Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.
This is default featured slide 5 title
Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.
Saturday, December 7, 2013
KINANA AZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI PORINI, AOMBOLEZA KIFO CHA NELSON MANDELA
AIRTEL BINGWA KUFUNGUKIA MBAGALA ZAKHIEM LEO
Huku tukishuhudia draw ya Mimi Bingwa watu wanavyojishindia mamilioni na ticket ya kwenda Old Trafford kuangalia live mechi za Man United bure. Kama haitoishi sasa screen kubwa ya ukubwa zaidi ya mita 4 itaonyesha live mchezo wa Man United na Newcastle United.
Kiingilio ni BURE.
Saturday, September 28, 2013
Rais Kikwete ahutubia Umoja wa Mataifa New York
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia kikao cha 68 cha Baraza kuu la Umoja wa Mataifa leo jijini New York Marekani.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban- Ki- Moon ofisini kwake.
MKE WA RAIS MAMA SALMA KIKWETE AZURU NEBRASKA NCHINI MAREKANI
MBUNGE MSIGWA AMPONGEZA RAIS KIKWETE KWA MKAKATI WAKE WA KUPAMBANA NA UJANGILI , ASEMA YUPO TAYARI KUWATAJA WANAOTUMIA AMBULENCE KUSAFIRISHA PEMBE ZA NDOVU IRINGA
| Mwenyekiti wa MANET Bw Zuberi Mwachura kulia akieleza mkakati wa kupambana na vitendo vya ujangili katika hifadhi ya taifa ya Ruaha leo |
| Mbunge wa jimbo la Iringa mjini mchungaji Peter Msigwa akifafanua jambo |
MBUNGE wa jimbo la Iringa mjini kupitia chama cha Demokrasia na maendeleo (chadema), Mchungaji Peter Msigwa amempongeza Rais Jakaya Kikwete kwa mkakati wake wa kunusuru vitendo vya ujangili katika hifadhi za Taifa.
Kuhusu watu maarufu mkoani Iringa wanaojihusisha na biashar a ya pembe za ndovu na hata kutumia magari ya umma kama Ambulence kusafirisha pembe hizo za ndovu alisema kuwa ana idadi yao ndevu zaidi na kuwa katika kikao cha bunge kijacho ataweka hadharani majina yao.
Kiongozi wa wanaharakati wa mtandao wa kupambana na vitendo vya ujangili katika hifadhi ya Taifa ya Ruaha Fundi Mihayo alisema kuwa mbinu mbali mbali zinatumika katika kusafirisha pembe za ndovu ikiwa ni pamoja na usafiri wa boda boda kutumika sasa kuendeshea vitendo vya ujangili .
Alisema usafiri huo umekuwa ukitumika kuvushia pembe za ndovu katika maeneo ya vizuizi na hivyo kutaka ulinzi na upekuzi mkubwa unahitajika katika kukomesha vitendo hivyo.
Kwa upande wake mwenyekiti wa MANET Zuberi Mwachura alisema kuwa lengo la mtandao huo ni kuendelea kupambana na vitendo vya ujangili katika maeneo ya hifadhi nchini .
Kwani alisema kuwa usalama wa wanyama pori na mazingira yao ni walazima kwa maendeleo yetu hivyo ni wajibu wa kila mmoja wetu kujua na kufahamu eneo ambalo wanatoka au wanaishi watu wanao fanya au kushiriki au kujihusisha na vitendo vya ujangili ni jukumu letu kuhamasisha jamii ya wananchi wote wajione wana wajibu wa kushiliki katika vita dhidi ya ujangili.
“..lazima tukubali kwamba ujangili upo, Pamoja na changamoto zake, lakini hatuwezi kukaa kimya tukiacha majangili waendelee kuteketeza tembo wetu. …. Mwanzo wa mafanikio katika jambo lolote ni dhamila na nidhamu, ya kupanga na kutekeleza. ….. Kwa kukubaliana katika nia hii ya kupambana na ujangili ni vizuri tuwe na tamko la dhamira yetu ya kujinasua katika Lindi Kubwa la ujangili wa Tembo”
Ulimboka, Costa na Pawasa wachambua uchezaji Simba
RECHO ATUPIA NUSU UTUPU
Picha hiyo ambayo Recho amevaa shati tupu (inayoonesha ndani) bila kuvaa kitu kingine chochote, aliitupia kwenye mtandao wa kijamii wa Instagram ambapo mashabiki na marafiki zake walichangia huku wakimlaumu kuwa hakufanya vizuri kuiweka picha hiyo ya aibu mtandaoni.
Paparazi wetu alimuuliza Recho kulikoni? Akajibu…
Stori: Gladness Mallya
MSANII wa filamu za kibongo, Rachel Haule ‘Recho’ hivi karibuni aligeuka kituko baada ya kutupia picha ya nusu utupu katika mtandao wa kijamii.
Picha hiyo ambayo Recho amevaa shati tupu (inayoonesha ndani) bila kuvaa kitu kingine chochote, aliitupia kwenye mtandao wa kijamii wa Instagram ambapo mashabiki na marafiki zake walichangia huku wakimlaumu kuwa hakufanya vizuri kuiweka picha hiyo ya aibu mtandaoni.
Paparazi wetu alimuuliza Recho kulikoni? Akajibu hivi:
“Nawapenda sana marafiki zangu lakini mimi sijaona tatizo la hii picha kwa sababu ni ya kawaida sana sioni ubaya wake.”










