Kaimu
Mkurugenzi wa Idara ya Habari maelezo Fakihi Haji Mbarouk akitoa hotuba
ya makaribisho kwa waandishi wa Habari waliohudhuria katika Mkutano wa
kutoa mapendekezo ya marekebisho ya sheria namba 5 ya mwaka 1985 hapo
katika ukumbi wa Hoteli ya Bwawani Zanzibar. PICHA NA YUSSUF SIMAI-MAELEZO ZANZIBAR.
Mwandishi wa Habari wa Idara ya habari Maelezo zanzibar Miza Kona Ngwali akitoa maoni kuhusu marekebisho ya sheria namba 5 ya mwaka 1985 hapo katika ukumbi wa Hoteli ya Bwawani Zanzibar.
0 comments:
Post a Comment