Mashabiki wa Uganda waliofika uwanjani kuipokea timu yao.
TIMU ya taifa ya Uganda (The Cranes)
mchana huu imewasili uwanja wa ndege Dar es Salaam kwa ajili ya
kujiwinda kwa mchezo wao dhidi ya timu ya taifa (Taifa Stars)
unaotarajiwa kufanyika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, Jumamosi
hii.
PICHA : RICHARD BUKOS / GPL
PICHA : RICHARD BUKOS / GPL
0 comments:
Post a Comment