Wednesday, March 20, 2013

SANDRA AITETEA NDOA YAKE

Sandra alifunguka hayo kupitia Stori 3 ambapo alisema taarifa hizo ndizo zilimpa hata mkosi kwani zilipoanza kuvuma ndiyo kipindi ambacho alipata ajali ya gari.
“Sijawahi kuachwa, mimi pamoja na familia yangu tunafurahia maisha ya ndoa. Hao walioeneza hizo taarifa, walikuwa na lengo la kuniharibia na hawajaweza,” alisema Sandra.

0 comments: