This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

This is default featured slide 2 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

This is default featured slide 3 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

This is default featured slide 4 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

This is default featured slide 5 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

Saturday, March 23, 2013

Taswira Kutoka Unyaluni


222 ca02e
Mambo ya Analogia+Digitali , Picha ni mtaa wa Mwembetogwa mkoani Iringa
111 619ab
Inyeshe isinyeshe ulanzi utaletwa tu mjini Iringa

444 a6e46
Matunda Kwa afya:--Pichani ni mjasiriamali  na mteja wa matunda eneo la miyomboni mkoani Iringa
PICHA NA SAID  NG’AMILO  IRINGA.

Inyeshe isinyeshe ulanzi utaletwa tu mjini Iringa kama uonavyo mpanda baiskeli  akirejea kwao Tanangozi kijijini  kishauza nimoja ya ujasiliamali.

Magazeti Leo jumamosi


.


.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.

.
.






































































Waziri Sitta awaanika wabunge wa Afrika Mashariki kuhusu posho


Na: Gustav Chahe, Iringa
MTU mmoja amenusurika katika ajali baada ya gari alilokuwa akisafiria kuacha njia na kutumbukia kwenye mtaro wa maji. Ajali hiyo imetokea majira ya saa 11 alfajiri katika barabara ya Iringa – Dodoma maeneo ya Sabasaba katika Manispaa ya Iringa ambapo gari lenye namba za usajili T 287 AAG Prado limetumbukia kwenye mtaro kwa kile kilichoelezwa kuwa chanzo cha ajali hiyo ni
hitilafu katika maungio ya tairi (boll joint).
Kwa mujibu wa maelezo yaliyotolewa na kikosi cha uokoaji (K.B. WORKSHOP) zinasema kuwa baada ya kupata hitilafu katika tairi moja, gari lilipoteza mwelekeo na kuhama njia kasha kutumbukia kwenye mtaro.
Imeelezwa kuwa katika gari hilo alikuwemo dereva pekee ambapo hata hivyo hakupata majeraha makubwa.
Gari hilo lilikuwa likitokea mjini Iringa kuelekea Kihesa ambapo mara baada ya ajali hiyo imeelezwa kuwa dereva alikwenda kupumzika kutokana na maumivu ya majeraha aliyopata japo kuwa jina lake halikutajwa.
Mtandao huu umeshuhudia gari lenye namba za usajili T 332 AKP mali ya K.B.WORKSHOP wakiokoa gari hilo lililokuwa kwenye mtaro.

ANUSURIKA KIFO AJALINI- Iringa


Na: Gustav Chahe, Iringa
MTU mmoja amenusurika katika ajali baada ya gari alilokuwa akisafiria kuacha njia na kutumbukia kwenye mtaro wa maji. Ajali hiyo imetokea majira ya saa 11 alfajiri katika barabara ya Iringa – Dodoma maeneo ya Sabasaba katika Manispaa ya Iringa ambapo gari lenye namba za usajili T 287 AAG Prado limetumbukia kwenye mtaro kwa kile kilichoelezwa kuwa chanzo cha ajali hiyo ni
hitilafu katika maungio ya tairi (boll joint).
Kwa mujibu wa maelezo yaliyotolewa na kikosi cha uokoaji (K.B. WORKSHOP) zinasema kuwa baada ya kupata hitilafu katika tairi moja, gari lilipoteza mwelekeo na kuhama njia kasha kutumbukia kwenye mtaro.
Imeelezwa kuwa katika gari hilo alikuwemo dereva pekee ambapo hata hivyo hakupata majeraha makubwa.
Gari hilo lilikuwa likitokea mjini Iringa kuelekea Kihesa ambapo mara baada ya ajali hiyo imeelezwa kuwa dereva alikwenda kupumzika kutokana na maumivu ya majeraha aliyopata japo kuwa jina lake halikutajwa.
Mtandao huu umeshuhudia gari lenye namba za usajili T 332 AKP mali ya K.B.WORKSHOP wakiokoa gari hilo lililokuwa kwenye mtaro.

PUMZIKA KWA AMANI CHINUA ACHEBE




Mwandishi Maarufu wa vitabu duniani Chinua Achebe amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 82. Msemaji wa jimbo la Anambra nchini Nigeria Mike Uda ameiambia BBC kuwa wanaomboleza kifo cha wanayemwita mtoto wa taifa la Nigeria na Afrika kwa ujumla.Chinua Achebe alizaliwa mwaka 1930, miaka 30 kabla ya Nigeria kupata uhuru. Taarifa iliyotolewa kwa niaba ya familia yake, imemwelezea Chinua Achebe kuwa
mmoja wa waandishi wakubwa wa vitabu vya fasihi katika kipindi chake, ambaye busara yake ilikuwa kichocheo cha kumwiga kwa wale wote waliomfahamu. Rais wa Nigeria, Goodluck Jonathan amesema Profesa Achebe ataishi daima katika mioyo ya akili za watu wa kizazi kiliochopo na vijavyo. Alipata umaarufu mkubwa kutokana na utunzi wa kitabu chake cha kwanza cha fasihi kitwaacho 'Things Fall Apart', ambacho alikitunga mwaka 1958 kikizungumzia athari za ukoloni barani Afrika.

Kitabu hiki kiliuza zaidi ya nakala milioni 10. Things Fall Apart kimetafsiriwa katika zaidi ya lugha 50 na kuelekeza mtazamo wake katika jamii ya Wa-Igbo na mgongano wa kimaadili kati ya nchi za mgaharibi na kijadi.

Alipata ngazi ya uprofesa kutoka chuo kikuu cha Boston nchini Marekani mwaka 1970 ambapo katika siku za hivi karibuni alikuwa akikosoa baadhi ya mienendo mibaya ya serikali ya Nigeria.
Amekuwa akiishi nchini Marekani tangu mwaka 1990 kufuatia kujeruhiwa katika ajali ya gari.
Ameandika kazi za kitaaluma zaidi ya 20, baadhi zikikosoa vikali wanasiasa na uongozi mbaya nchini Nigeria.

Rais wa Nigeria, Goodluck Jonathan amesema Profesa Achebe ataishi daima katika mioyo na akili za watu wa kizazi kiliochopo na vijavyo.

Zitto Kabwe: TaifaStars ninyi ndio tumaini letu kubwa

 Zitto-Kabwe-akikokota-mpira1 23190
TaifaStars ninyi ndio tumaini letu kubwa wakati huu nchi yetu imejaa changamoto nyingi na kukata tamaa. Wakati Umoja wa Taifa upo mashakani, ninyi mnatufanya tuvae na kupeperusha Bendera yetu nzuri ya Taifa. Dakika tisini uwanjani Tanzania inakuwa moja, ushindi hutupa fahari kubwa na kusahau vyama vyetu, Dini zetu, madaraja ya Maisha nk. Ingieni uwanjani Kwa ufahari mkubwa. Tupeni raha #TaifaStars #TZBrazil2014
Nimezungumza kwa simu na nahodha wa Timu ya Taifa, #TaifaStars Tanzania one @JumaKaseja . Morale ya Vijana wetu ipo juu sana. Wanaomba mjae uwanjani na kuwashangilia Kwa Nguvu. Kila Mtu ashike Bendera ya Taifa au Rangi za Bendera ya Taifa. Mliopo Dar msituangushe, uwanja wa Taifa ujae pomoni. #Nyumbani tushinde. Ushindi Ni lazima. Go stars Go