This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

This is default featured slide 2 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

This is default featured slide 3 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

This is default featured slide 4 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

This is default featured slide 5 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

Thursday, April 25, 2013

AIBU SANA!

KUSOMA ZAIDI HABARI HIZI BOFYA HAPA
Stori: Issa Mnally

NI aibu sana! Ndivyo unavyoweza kusema juu ya Oparesheni ya Fichua Maovu iliyosimamiwa na Kamanda wa Polisi Wilaya ya Kinondoni, jijini Dar, OCD Wilbroad Mutafungwa na Ofisa wa Oparesheni, Inspekta Jacob Swai kwa kushirikiana na Global Publishers iliyonasa wanawake wanaojishughulisha na mambo ya ngono usiku kucha.
Katika oparesheni hiyo iliyofanyika usiku wa Jumapili iliyopita watu kibao walinaswa hasa katika Ufukwe wa…
KUSOMA ZAIDI HABARI HIZI BOFYA HAPA
Stori: Issa Mnally
NI aibu sana! Ndivyo unavyoweza kusema juu ya Oparesheni ya Fichua Maovu iliyosimamiwa na Kamanda wa Polisi Wilaya ya Kinondoni, jijini Dar, OCD Wilbroad Mutafungwa na Ofisa wa Oparesheni, Inspekta Jacob Swai kwa kushirikiana na Global Publishers iliyonasa wanawake wanaojishughulisha na mambo ya ngono usiku kucha.
Katika oparesheni hiyo iliyofanyika usiku wa Jumapili iliyopita watu kibao walinaswa hasa katika Ufukwe wa Coco, jijini Dar akiwemo bibi harusi mmoja na mtoto wa kigogo (jina linahifadhiwa).
BIBI HARUSI LAIVU KWENYE BAJAJ
Kwenye ufukwe huo, mwanamke mmoja ambaye jina halikupatikana, aliyedaiwa kufunga ndoa Ijumaa iliyopita, naye alikamatwa katika msako baada ya kunaswa na mwanaume wakifanya ngono kwenye Bajaj.
Katika tukio hilo, mwanaume alifanikiwa kutoka nduki huku akimwacha demu wake akijikusanya kwa kuvaa nguo.
Mwanamke huyo naye alifanikiwa kuwatoka askari hao na kukimbilia chooni ambapo aliwakuta wanawake wengine waliojificha hivyo wakakamatwa wote kwa pamoja.
Ili kuweka ushahidi, askari hao wa kazi waliikamata Bajaj hiyo.
ALIKWENDA KUKUMBUSHIA ENZI ZAKE
Kwa mujibu wa mwanamke huyo, mkazi wa Kinondoni-Manyanya, usiku huo alifika mahali hapo kukumbushia enzi zake kabla ya kuolewa ambapo ilidaiwa kwamba alikuwa akijiuza ufukweni hapo.
Alijitetea kuwa mume wake alisafiri hivyo akaona akakumbushie enzi zake kabla hata ‘hina’ aliyopakwa wakati wa harusi haijafutika mwilini.
Pamoja na maelezo hayo, mwanamke huyo aliishia kwenye ‘difenda’ la polisi tayari kwa kupelekwa kituoni kwa maelezo zaidi.
BINTI WA KIGOGO
Katika kundi hilo la wanawake na wanaume zaidi ya hamsini waliokamatwa ufukweni hapo usiku huo wa saa 9 na ushee, kulikuwa na mtoto wa kigogo mmoja serikalini katika idara nyeti ambaye alinaswa mchangani baharini akiwa kwenye kundi la makahaba.
Mtoto huyo aligundulika kuwa ni binti wa mnene wakati wa kutoa maelezo kituoni Oysterbay.
MASIKINI ALIKUWA NA ‘BOIFRENDI’ WAKE
Akijitetea wakati wa kutoa maelezo, binti huyo aliyeonekana mrembo na mwenye mvuto wa ajabu, alisema kwamba alikuwa na ‘boifrendi’ wake na kuwa alitoroka kwao usiku huo.
Binti huyo aliomba chondechonde asipigwe picha kwani endapo itaonekana gazetini basi atakuwa amejipalia makaa nyumbani kwa vile hataeleweka kwa sababu anapatiwa fedha za matumizi pamoja na ada ya shule.
Ukiacha mwanamke na binti huyo wa kigogo, wanawake wengine wengi walikamatwa, wengi wao walikutwa wakifanya vitendo vya ngono mchangani wakiwa ‘pea’.
MACHANGU WAFUNGUKA
Kati ya wote waliokamatwa, wanawake kumi na tano walikiri kujishughulisha na biashara ya kuuza miili ambapo walisema wanafanya hivyo kutokana na ugumu wa maisha.
ACD MUTAFUNGWA ANASEMAJE?
Kwa upande wake OCD Mutafungwa alisema wameamua kuyafanyia kazi malalamiko ya wananchi kwa kuvamia eneo hilo.

INSPEKTA SWAI ATIA NENO
Naye Inspekta Swai aliyekuwa ‘front’ katika zoezi hilo alisema kuwa zoezi hilo litakuwa endelevu kila wiki ili kukomesha vitendo viovu katika ufukwe huo.

NI MATOKEO YA GAZETI LA RISASI
Oparesheni hiyo ilikuja siku chache baada ya gazeti ndugu la hili, Risasi Mchanganyiko, toleo namba 1000 la Jumatano ya Aprili 17-19 kuripoti ufuska unaofanyika katika ufukwe huo usiku wa saa 9 na kuendelea.
Uchunguzi wa gazeti hilo ulieleza kiundani vitendo vya ngono, usagaji, ubakaji, ushoga na ujambazi vilivyokuwa vikifanyika eneo hilo hivyo Jeshi la Polisi Kinondoni wakaona kuna kila sababu ya kufumua uozo huo kwa kuwa ni wachapaka

MTU MMOJA ADAIWA KUFA MAJI COCO BEACH MCHANA HUU


Mwili wa marehemu ukiwa umefunikwa Khanga na wasamaria wema katika fukwe za Coco Beach....
 
Taarifa  zilizotufikia  hivi  punde  zinadai  kuwa  mtu  mmoja  (Pichani)  ambaye  bado  hajafahamika  mara  moja  amekutwa  amekufa  maji  Coco-Beach......

Tunaendelea  kufuatilia   undani  wa  habari hii......
Imetolewa  na Thimothy Shao Koko
 
Mwili ukiwa katika machela

 
Mwili wa Marehemu ukiwa umefunikwa
 
Wasalia wema…
Mwili ukiwa katika machela
 
Mwili wa Marehemu ukiwa umefunikwa
 
Wasalia wema wakiusogeza mwili wa marehemu pembezoni mwa Bahari

LOWASSA CHUPUCHUPU…

Stori: FRANCIS GODWIN, IRINGA

KIJANA ambaye amekuwa ‘akiwaliza’  watu wakiwemo viongozi serikalini kwa kutumia jina la Waziri William Lukuvi aliyejulikana kwa jina moja la Jonathan amenaswa na polisi.
 Mtuhumiwa akiwa chini ya ulinzi baada ya kutiwa mbaro na polisi
Ishu hiyo ilitokea Jumapili iliyopita katika hafla ya Kanisa la Overcomers FM la Askofu Dk. Boaz Sollo kwenye Ukumbi wa St. Dominic…
Stori: FRANCIS GODWIN, IRINGA
KIJANA ambaye amekuwa ‘akiwaliza’  watu wakiwemo viongozi serikalini kwa kutumia jina la Waziri William Lukuvi aliyejulikana kwa jina moja la Jonathan amenaswa na polisi.
Mtuhumiwa akiwa chini ya ulinzi baada ya kutiwa mbaro na polisi
Ishu hiyo ilitokea Jumapili iliyopita katika hafla ya Kanisa la Overcomers FM la Askofu Dk. Boaz Sollo kwenye Ukumbi wa St. Dominic mjini Iringa ambapo kijanna huyo alitaka kumtapeli Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa (pichani) kupitia harambee iliyokuwa ikifanyika kanisani hapo.
Kijana akiwa katika ulinzi mkali wa Askali kanzu wakiwa wana mpeleka kituoni kwa maojiano zaidi

Kijana huyo alipita mbele na MC wa shughuli hiyo alimpa kipaza sauti ambapo alianza kwa kujitambulisha jina na kuongeza yeye ni mtoto wa Lukuvi.
Alisema mara kwa mara amekuwa akimpigia simu Lowassa ili azungumze naye akitaka msaada ambao hakuutaja ukumbini hapo.
Huku Mheshimiwa Lowassa akiwa amesimama wima na kumsikiliza kwa umakini, Jonathan alimwambia siku za nyuma katika mkutano  wa mheshimiwa huyo uliofanyika Viwanja vya Jangwani,  jijini Dar es Salaam alizungumza naye kuhusu shida yake kwa hiyo siku hiyo alitaka atekelezewe.
Kufuatia utambulisho huo, baadhi ya watu waliowahi  kutapeliwa na kijana huyo, akiwemo Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa, Teresia Mahongo waliguna, hali iliyosababisha polisi  kujitokeza na kumtia mbaroni kijana huyo ambaye ilionekana alikuwa akiweka mtego wa kumtapeli Lowassa na  viongozi wengine katika hafla hiyo.
Kada wa CCM mkoani Iringa, Godfrey Malenga  Lukuvi alisema kijana  huyo amekuwa akitumia  jina la waziri kuliza  watu. Alisema wengi  wameshalalamika kuhusu  utapeli unaofanywa na Jonathan na kuna wakati alikamatwa na polisi lakini akaachiwa.
Kwa upande wake, Katibu wa Mbunge  Jimbo la Isimani ambaye pia ni familia ya mheshimiwa Lukuvi,  Thom Malenga Lukuvi alisema amekuwa akipokea malalamiko kutoka kwa watu mbalimbali ambao  wamelizwa na Jonathan na ameshaweka mitego ya kumnasa lakini hakuwahi kufanikiwa.
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa, Mahongo alimweleza mwandishi wa habari hizi kuwa Jonathan aliwahi kufika ofisini kwake kwa lengo la kumtapeli lakini alimshtukia na kumpigia simu Waziri Lukuvi ambapo alisema kijana huyo ni tapeli.
Mwandishi wetu alimtafuta Lukuvi kwa simu na alipopatikana alimkana kijana huyo kwamba hamtambui wala hana undugu na ukoo wake.
“Huyu kijana simtambui na wala si ndugu yangu, ila amekuwa akitumia jina langu kutapeli watu na tayari amekamatwa na polisi kwa utapeli huo,” alisema Lukuvi.


ORODHA NZIMA YA WASANII WALIOTAJWA KUWANIA TUZO ZA "KILI MUSIC AWARDS" MWAKA 2013


Majina ya wasanii watakaowania tuzo za Kili mwaka 2013 yametajwa leo. 
WIMBO BORA WA MWAKA
Dear God - Kala Jeremiah
Leka dutigite - Kigoma all star
Mapito - Mwasiti Feat Ally Nipishe
Me n U - Ommy Dimpoz Feat Vanessa Mdee
Pete- Ben pol

MSANII BORA WA KIUME
Ben Pol
Diamond
Linex
Mzee Yusuf
Ommy Dimpoz

MSANII BORA WA KIKE
Isha Mashauzi
Khadija Kopa
Lady Jaydee
Mwasiti
Recho

MSANII BORA WA KIKE - TAARAB
Isha Mashauzi
Khadija Kopa
Khadija Yusuph
Leila Rashid

MSANII BORA WA KIUME - TAARAB
Ahmed Mgeni
Hashim Said
Mzee Yusuf

MSANII BORA WA KIUME - BONGO FLAVA
Ally Kiba
Ben Pol
Diamond
Linex
Ommy Dimpoz

MSANII BORA WA KIKE - BONGO FLAVA
Linah
Mwasiti
Recho
Shaa

MSANII BORA WA HIP HOP
Fid Q
Joh Makini
Kala Jeremiah
Profesa J
Stamina

9. Msanii Bora wa Kiume - Bendi
Chalz Baba
Dogo Rama
Greyson Semsekwa
Jose Mara
Khaleed Chokoraa

Msanii Bora wa Kike - Bendi
Anneth Kushaba
Luiza Mbutu
Mary Lucos
Vumilia

Msanii Bora anayechipukia
Ali Nipishe
Angel
Bonge la Nyau
Mirror
Vanessa Mdee

Video Bora ya Wimbo ya Mwaka
Baadae - Ommy Dimpoz
Kamili gado - Professor J Feat Marco Chali
Marry Me - Rich Mavoko
Nichum - Bob Junior
Party Zone - AY Feat Marco Chali

Mtunzi Bora wa Mashahiri - Taarab
Ahmed Mgeni
Hemed Omary
Khadija Kopa
Mzee Yusuf
Thabit Abdul

Mtunzi Bora wa Mashahiri - Bongo Flava
Ally Kiba
Barnaba
Ben Pol
Linex
Ommy Dimpoz

Mtunzi Bora wa Mashahiri - Hip Hop
Fid Q
Joh Makini
Kala Jeremiah
Mwana Fa
Stamina

Mtunzi Bora wa Mashahiri - Bendi
Chalz Baba
Grayson Semsekwa
Jonico Flower
Jose Mara
Khaleed Chokoraa

Mtayarishaji Bora wa Mwaka - Muziki wa Kizazi Kipya
Bob Junior
Ima the boy
Man Water
Maneke
Marco chali
Mensen Selecta

Mtayarishaji wa Wimbo wa Mwaka - Taarab
Bakunde
Enrico

Mtayarishaji wa Wimbo wa Mwaka - Bendi
Allan Mapigo
Amoroso

Mtayarishaji Chipukizi wa Mwaka
Imma the Boy
Mensen Selecta
Mr T Touch
Sheddy Clever

Rappa Bora wa Bendi
Fagasoni
Greyson Semsekwa
J4
Jonico Flower
Sauti ya Radi

Wimbo wenye vionjo vya asili
Aambiwe - offside trick
Atatamani - AT
Boma la utete - Young D
Chocheeni kuni - Mrisho Mpoto Feat Ditto
Mdundiko - Momba Feat Juma Nature

Wimbo Bora wa Bendi
Chanzo ni sisi - Mapacha watatu
Jinamizi la Talaka - Mlimani Park Orchestra
Risasi kidole - Mashujaa band
Shamba la twanga - African Stars band

Wimbo Bora wa Reggae
Hii si ya waoga - Yuzzo
Kilimanjaro - Warriors from The East
NATAFUTA PARADISE - Mac Malick Simba
Salvation - Delayla Princess
Tunda - Hardmad

Wimbo Bora wa Africa Mashariki
Fresh All Day - Camp Mulla
Make you dance - Keko Feat Madtrax
Maswali ya polisi - DNA
Still a Liar - Wahu
Valu Valu - Jose Chameleone

Wimbo Bora wa - Bongo Pop
Aifola - Linex Feat fundi Samweli
Baadae - Ommy Dimpoz Feat Angel
Chuki Bure - Sharo Milionea Feat Dully Sykes
Marry Me - Rich Mavoko
Me and you - Ommy Dimpoz Feat Vanessa Mdee

Wimbo Bora wa Kushirikiana/kushirikishwa
Chuki Bure - Sharo Millionea Feat Dully Sykes
Mapito - Mwasiti Feat Ally Nipishe
Me and U - Ommy Dimpoz Feat Vanessa Mdee
Sihitaji marafiki - Fid Q Feat Yvonne
Single Boy - Alikiba Feat Lady Jaydee


Wimbo Bora wa Hip Hop
Alisema - Stamina Feat Jux
Bum kubam - Nikki wa Pili Feat G Nako
Dear God - Kala Jeremiah
Nasema Nao - Nay wa Mitego
Sihitaji Marafiki - FID Q Feat Yvonne

Wimbo Bora wa RnB
Amerudi - Belle 9
Kuwa na Subira - Rama Dee Feat Mapacha
Maneno maneno - Ben Pol
Pete - Ben Pol

Wimbo Bora wa Ragga/ Dancehall
Je ni nani - Ras Six
Muda upite - Susu Man
Predator - Dabo
Push Dem - Dr Jahson
Take it down - Chibwa and Tanah

Wimbo Bora wa Taarab
Mjini chuo kikuu - Khadija Kopa
Mpenzi chocolate - Jahazi [Mzee Yusuph]
Si bure una mapungufu - Isha Mashauzi [Mashauzi Classic]
Sina muda huo - Jahazi [Leila Rashid]
Siwasujudii Viwavi jeshi -Isha Mashauzi [Mashauzi Classic]

Wimbo Bora wa Zouk/Rhumba
Gubegube -Barnaba
Mapito - Mwasiti Feat Ally Nipishe
Nashukuru umerudi - Recho
Ni wewe - Amini
Sorry - Barnaba

Bendi Bora ya Mwaka CD1 African Stars Band
Mapacha wa tatu
Mashujaa Band
Mlimani Park Orchestra [Sikinde]
Msondo Ngoma Music band

Kikundi Bora cha Taarab
Dar modern Taarab
Five stars modern Taarab
Jahazi Modern Taarab
Kings modern Taarab
Mashauzi Classic

Kikundi Bora cha Muziki wa Kizazi Kipya
Jambo squad
Makomando
Tip Top Connection
Tmk wanaume family
Weusi