Katuga alidai Machi 19 mwaka huu Emma alimtolea lugha ya matusi Samson Itinde jambo ambalo ni kinyume cha sheria.
Emma alikana shtaka hilo ambapo Katuga alidai upelelezi umekamilika na kuomba kupangiwa tarehe kwa usikilizwaji wa awali.
Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.
Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.
Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.
Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.
Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.
Leo nataka kuzungumzia tabia ya baadhi ya watu kutumia fedha
wanazozipata kwa fujo kana kwamba wameambiwa kuwa kesho wanakufa. Hakuna
asiyefahamu umuhimu wa pesa, na kutokana na hilo, wengi wamekuwa
wakipambana usiku na mchana kuhakikisha wanazipata.
Cha ajabu sasa, wapo ambao wanatumia nguvu na akili zao kuzitafuta
fedha hizo lakini mwishowe wanazimwaga kwa matumizi yasiyo na mbele wala
nyuma.
Leo
nataka kuzungumzia tabia ya baadhi ya watu kutumia fedha wanazozipata
kwa fujo kana kwamba wameambiwa kuwa kesho wanakufa. Hakuna asiyefahamu
umuhimu wa pesa, na kutokana na hilo, wengi wamekuwa wakipambana usiku
na mchana kuhakikisha wanazipata.
Cha
ajabu sasa, wapo ambao wanatumia nguvu na akili zao kuzitafuta fedha
hizo lakini mwishowe wanazimwaga kwa matumizi yasiyo na mbele wala
nyuma.