Tabla
akifanya yake kwa steji Mashuati kwenye stage wakionyesha ujuzi wa
karate raha kwelii Haya sasa Man 2 Man Battle nichane
nikupasue
Ohhh
usiogope jamaa hapigwiiii ila ni mizuka ya battle man 2 man
Kundi la Kiokosi cha Mizinga limefanya show ya kutimiza miaka 13
tangu lianzishweShow hiyo iliyo hudhuliwa na mashabiki kibao wa hip hop wa Jijini Dar es salaam.
Onyesho hilo lilifanyika usiku wa kuamkia leo na kuhudhuliwa na wasanii wa muda mrefu sana waliopotea katika mziki huo wakiwemo Member wa Kundi la Wateule,Mark 2 Be aka Simba wa kundi la Big Dogg Poz
0 comments:
Post a Comment