Tabla
akifanya yake kwa steji
Mashuati kwenye stage wakionyesha ujuzi wa
karate raha kwelii
Haya sasa Man 2 Man Battle nichane
nikupasue
Ohhh
usiogope jamaa hapigwiiii ila ni mizuka ya battle man 2 manShow hiyo iliyo hudhuliwa na mashabiki kibao wa hip hop wa Jijini Dar es salaam.
Onyesho hilo lilifanyika usiku wa kuamkia leo na kuhudhuliwa na wasanii wa muda mrefu sana waliopotea katika mziki huo wakiwemo Member wa Kundi la Wateule,Mark 2 Be aka Simba wa kundi la Big Dogg Poz




Kumbukumbu Muhimu Mwana










0 comments:
Post a Comment