Redd's Miss Kinondoni 2013, Lucy Tomeka (katikati), akiwa kwenye pozi la pamoja na warembo wenzake walioingia kwenye Tatu Bora.
Redd's Miss Kinondoni 2013, Lucy Tomeka (katikati), akiwa kwenye pozi la pamoja na warembo wenzake walioingia kwenye Tatu Bora.
Warembo walioingia kwenye Tano Bora wakiwa katika pozi la pamoja muda mfupi baada ya kutajwa kwenye nafasi hiyo.
USIKU wa kuamkia leo kulifanyika Shindano la kumsaka mrimbwende wa
Kinondoni, ambapo Lucy Tomeka, aliwamwaga warembo 11 na kuibuka kidedea,
huku nafasi ya pili ikitua mikononi mwa Prisca Clement na Philious
Lemi akifunga pazia la Tatu Bora itakayojiunga katika kambi ya Taifa ya
kumsaka Miss Tanzania 2013/2014.Nafasi ya nne katika kinyang’anyilo hicho ilichukuliwa na Sarah Paul huku Tano Bora ikihitimishwa na Linda Joseph.
Habari/Picha: Musa Mateja/GPL
0 comments:
Post a Comment