Saturday, June 22, 2013

REDD'S MISS KINONDONI 2013 APATIKANA

Redd's Miss Kinondoni 2013, Lucy Tomeka (katikati), akiwa kwenye pozi la pamoja na warembo wenzake walioingia kwenye Tatu Bora.

Lucy akikabidhiwa taji hilo na Miss Kinondoni wa mwaka uliopita.
Warembo walioingia…
Redd's Miss Kinondoni 2013, Lucy Tomeka (katikati), akiwa kwenye pozi la pamoja na warembo wenzake walioingia kwenye Tatu Bora.
Lucy akikabidhiwa taji hilo na Miss Kinondoni wa mwaka uliopita.
Warembo walioingia kwenye Tano Bora wakiwa katika pozi la pamoja muda mfupi baada ya kutajwa kwenye nafasi hiyo.
Baadhi ya mashabiki wakifuatilia mchakato mzima ulivyokuwa ukiendelea.
USIKU wa kuamkia leo kulifanyika Shindano la kumsaka mrimbwende wa Kinondoni, ambapo Lucy Tomeka, aliwamwaga warembo 11 na kuibuka kidedea, huku nafasi ya pili ikitua mikononi mwa  Prisca Clement na Philious  Lemi akifunga pazia la Tatu Bora itakayojiunga katika kambi ya Taifa ya kumsaka Miss Tanzania 2013/2014.
Nafasi ya nne katika kinyang’anyilo hicho ilichukuliwa na  Sarah Paul huku Tano Bora ikihitimishwa na Linda Joseph.
Habari/Picha: Musa Mateja/GPL

0 comments: