This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

This is default featured slide 2 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

This is default featured slide 3 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

This is default featured slide 4 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

This is default featured slide 5 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

Sunday, April 14, 2013

HII NDO LAANA INAYOTENDEKA MOMBASA......NASIKIA HUKO HADI WANAUME HUJIUZA


The 21st century generation seems to have thrown all caution and the respectable ways that the forefathers fought so hard to see their children grow up with are no longer there.

In Mombasa at some night clubs this is what goes down.

YANGA YAZIDI KUJIKITA KILELENI

Timu za Yanga na JKT Oljoro zikiingia uwanjani.
Yanga wakishangilia bao lao la kwanza lililofungwa na Simon Msuva.…
Timu za Yanga na JKT Oljoro zikiingia uwanjani.
Yanga wakishangilia bao lao la kwanza lililofungwa na Simon Msuva.
Hekaheka langoni mwa JKT Oljoro.
Haruna Niyonzima akijaribu kuipita ngome ya JKT Oljoro.
Hamis Kiiza akiifungia Yanga bao la tatu.
Mshikemshike langoni mwa Yanga.
Wanausalama wakifuatilia soka.
Mpaka mwisho wa mchezo score board ilisomeka hivi.
Raha ya mechi ushindi.
TIMU ya Yanga jana ilizidi kujikita kileleni mwa Ligi Kuu Tanzania Bara baada ya kuilaza JKT Oljoro mabao 3-0 kwenye mchezo uliopigwa Uwanja wa Taifa,  jijini Dar es Salaam. Kwa matokeo hayo, Yanga imefikisha jumla ya pointi 52 baada ya kucheza mechi 22. Mabao ya Yanga yaliwekwa kimiani na Nadir Haroub 'Cannavaro', Simon Msuva na Hamis Kiiza 'Diego'.

CHADEMA YAZINDUA KANDA YA PWANI

Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Wilbrod Slaa akiongea wakati wa Kongamano la uzinduzi wa Kanda ya Pwani lililofanyika jana  jijini Dar es Salaam katika Hotel ya Blue Pearl- Ubungo Plaza.
Wana Chadema wakifuatilia kwa makini kongamano…


Makamu Mwenyekiti wa Kanda ya Pwani (Chadema), Mabere Nyaucho Marando (kulia) akifuatilia kongamano hilo.

ESTER BULAYA AZINDUA MICHUANO YA 'ESTHER CUP

Esther Bulaya akifafanua jambo kwa wanahabari (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa michuano ya 'Esther Cup'.
Wanahabari wakimsikiliza mbunge Esther Bulaya.…

Esther Bulaya akihojiwa na mwanahabari kutoka ITV, Amri Massare.
MBUNGE wa Viti Maalum CCM, Esther Bulaya, jana alizindua rasmi michuano ya 'Esther Cup' itakayofanyaika katika wilaya ya Bunda mkoani Mara hivi karibuni. Bulaya alizindua michuano hiyo kwa wanahabari jana katika hafla fupi iliyofanyika katika hoteli ya The Atriums iliyopo Afrika Sana jijini Dar es Salaam.

EXTRA BONGO WAFANYA MAKAMUZI MEEDA CLUB

Ali Choki (kulia) pamoja na wanenguaji wake wakilishambulia jukwaa la Meeda Club.
Wanenguaji wa Extra Bongo wakizidi kuwapa raha mashabiki waliohudhuria shoo hiyo usiku wa kuamkia leo.…
Ali Choki (kulia) pamoja na wanenguaji wake wakilishambulia jukwaa la Meeda Club.
Wanenguaji wa Extra Bongo wakizidi kuwapa raha mashabiki waliohudhuria shoo hiyo usiku wa kuamkia leo.
Ali Choki (kulia) akiwa katika pozi na Benny Kinyaiya.
Burudani zikiwa zimepamba moto.
Wanenguaji wa Extra Bongo wakipozi baada ya kazi.
BENDI ya Extra Bongo 'Wazee wa Kizigo' chini ya kiongozi wao Ali Choki 'Mzee wa Farasi' usiku wa kuamkia leo wamefanya makamuzi ya hatari katika ukumbi wa Meeda uliopo Sinza, jijini Dar es Salaam.

PICHA ZA MABAKI YA NDEGE ILIYODONDOKA JANA JIJINI ARUSHA




Name:  DSC03435.JPG
Views: 0
Size:  7.26 MB




Name:  DSC03444.JPG
Views: 0
Size:  6.98 MB
Eneo ambalo ndege iliyoanguka, kutoka eneo hilo mpaka landing truck ni kama 1km. Mbele ya mabaki hayo ya ndege kuna mti mmoja ambao unasadikiwa kuwa  ndege hiyo ilijigonga na kudondoka chini.