Sunday, April 14, 2013

CHADEMA YAZINDUA KANDA YA PWANI

Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Wilbrod Slaa akiongea wakati wa Kongamano la uzinduzi wa Kanda ya Pwani lililofanyika jana  jijini Dar es Salaam katika Hotel ya Blue Pearl- Ubungo Plaza.
Wana Chadema wakifuatilia kwa makini kongamano…


Makamu Mwenyekiti wa Kanda ya Pwani (Chadema), Mabere Nyaucho Marando (kulia) akifuatilia kongamano hilo.

0 comments: