Sunday, April 14, 2013

YANGA YAZIDI KUJIKITA KILELENI

Timu za Yanga na JKT Oljoro zikiingia uwanjani.
Yanga wakishangilia bao lao la kwanza lililofungwa na Simon Msuva.…
Timu za Yanga na JKT Oljoro zikiingia uwanjani.
Yanga wakishangilia bao lao la kwanza lililofungwa na Simon Msuva.
Hekaheka langoni mwa JKT Oljoro.
Haruna Niyonzima akijaribu kuipita ngome ya JKT Oljoro.
Hamis Kiiza akiifungia Yanga bao la tatu.
Mshikemshike langoni mwa Yanga.
Wanausalama wakifuatilia soka.
Mpaka mwisho wa mchezo score board ilisomeka hivi.
Raha ya mechi ushindi.
TIMU ya Yanga jana ilizidi kujikita kileleni mwa Ligi Kuu Tanzania Bara baada ya kuilaza JKT Oljoro mabao 3-0 kwenye mchezo uliopigwa Uwanja wa Taifa,  jijini Dar es Salaam. Kwa matokeo hayo, Yanga imefikisha jumla ya pointi 52 baada ya kucheza mechi 22. Mabao ya Yanga yaliwekwa kimiani na Nadir Haroub 'Cannavaro', Simon Msuva na Hamis Kiiza 'Diego'.

0 comments: