This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

This is default featured slide 2 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

This is default featured slide 3 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

This is default featured slide 4 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

This is default featured slide 5 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

Friday, February 21, 2014

Kilichosemwa na Mh.Membe kuhusu Mgogoro wa Mpaka kati ya Tanzania na Malawi.

membeTanzania bado ipo kwenye mgogoro na nchi ya Malawi juu ya mpaka halisi wa nchi,Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mh Benard Membe amesema hatma juu ya mgogoro huo inategemewa kutolewa mwezi march.
Hukumu hiyo itaamuliwa baada ya jopo la Usuluhishi litakapokaa na kusikiliza pande zote mbili ambalo litaongozwa na Rais wa zamani wa Msumbiji Joachim Chisano
Kupatikana kwa suluhu ya mgogoro wa mpaka huo kutawatoa hofu wananchi wanaoishi pembezoni mwa Ziwa hilo ambao wamekuwa wakitegemea shughuli za uvuvi wakiwemo wakazi wa kijiji cha Manda Jimbo la Ludewa mkoani Njombe.
Wakazi wa eneo hilo wamesema kwa hivi karibuni tangu kutulia kwa vuguvugu la mgogoro huo wamekuwa wakiendelea shughuli zao za maendeleo kama kawaida ikiwemo uvuvi.
malawi

Alichosema Mbwana Samatta kuhusu Mrisho Ngassa

Home » General News » Alichosema Mbwana Samatta kuhusu Mrisho Ngassa Alichosema Mbwana Samatta kuhusu Mrisho Ngassa Posted by: TZA Sports February 20, 2014 General News, Michezo 44 views TP_MAZEMBE_SAMATA_280912Mshambuliaji wa kimataifa mtanzania anayekipiga TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Mtanzania Mbwana Samatta, amesema Mrisho Ngassa wa Yanga amefanya kitu cha maana kwa kupiga ‘Hat-Trick’ mbili mfululizo kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika. Samatta alisema idadi hiyo ya mabao si kazi rahisi kwenye mashindano makubwa kama hayo. Yanga iliifumua Komorozine ya Comoro mabao 12-2 na kuiondosha kwenye mashindano na sasa itaikabili Al Ahly ya Misri ambayo Samatta amesema si timu ya ajabu lakini si laini kama hakuna mipango ya maana. Akizungumza na Mwanaspoti kwa simu kutoka Lubumbashi, Samatta alisema: “Mabao sita ni mengi sana kufunga katika Ligi ya Mabingwa Afrika, ni dalili nzuri kwake na kwa timu. “Pia yanaashiria mambo mazuri kikubwa, lakini asibweteke kwani anaweza kufanya kitu kikubwa katika mashindano hayo endapo Yanga itafanikiwa kusonga mbele. “Ngassa ni mchezaji mzuri na mwenye uzoefu, kwangu sioni kitu cha ajabu sana kufunga mabao matatu kwenye mchezo mmoja kwa sababu nafahamu uwezo wake, lakini inaashiria pia kwa sasa yuko vizuri sana kimwili na kiakili.” Kuhusu Yanga na Al Ahly, Samatta alisema: “Al Ahly ni timu kubwa na kama ulivyoona ni mabingwa, lakini mpira ni mchezo wa ajabu, nina imani kama Yanga watajituma, wanaweza kuwavua ubingwa na wao wakasonga mbele.” Mazembe nayo imo kwenye michuano hiyo na inajiandaa na mechi dhidi ya Astres de Douala ya Cameroon. Kuhusiana na mchezo huo, Samatta ameweka wazi kuwa maandalizi yao ni ya nguvu.

TP_MAZEMBE_SAMATA_280912