Wanenguaji wa Extra Bongo wakizidi kuwapa raha mashabiki waliohudhuria shoo hiyo usiku wa kuamkia leo.…
Wanenguaji wa Extra Bongo wakizidi kuwapa raha mashabiki waliohudhuria shoo hiyo usiku wa kuamkia leo.
Ali Choki (kulia) akiwa katika pozi na Benny Kinyaiya.BENDI ya Extra Bongo 'Wazee wa Kizigo' chini ya kiongozi wao Ali Choki 'Mzee wa Farasi' usiku wa kuamkia leo wamefanya makamuzi ya hatari katika ukumbi wa Meeda uliopo Sinza, jijini Dar es Salaam.
0 comments:
Post a Comment