Wednesday, March 20, 2013

MKUTANO WA KUTOA MAPENDEKEZO YA MAREKEBISHO YA SHERIA NAMBA 5 YA MWAKA1985 YA MAGAZETI WAFANYIKA ZANZIBAR

DSC07005
Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Habari maelezo Fakihi Haji Mbarouk akitoa hotuba ya makaribisho kwa waandishi wa Habari waliohudhuria katika Mkutano wa kutoa mapendekezo ya marekebisho ya sheria namba 5 ya mwaka 1985 hapo katika ukumbi wa Hoteli ya Bwawani Zanzibar.  PICHA NA YUSSUF SIMAI-MAELEZO ZANZIBAR.

0 comments: