Kaimu
Mkurugenzi wa Idara ya Habari maelezo Fakihi Haji Mbarouk akitoa hotuba
ya makaribisho kwa waandishi wa Habari waliohudhuria katika Mkutano wa
kutoa mapendekezo ya marekebisho ya sheria namba 5 ya mwaka 1985 hapo
katika ukumbi wa Hoteli ya Bwawani Zanzibar. PICHA NA YUSSUF SIMAI-MAELEZO ZANZIBAR.
Afisa wa Habari kutoka Idara ya Habari Maelezo zanzibar Faki Mjaka akitoa ufafanuzi wa baadhi ya mambo katika Mkutano wa kutoa mapendekezo ya marekebisho ya sheria namba 5 ya mwaka 1985 hapo katika ukumbi wa Hoteli ya Bwawani Zanzibar.kulia ni mwandishi kutoka Redio adhana Said Suleiman.
Mwandishi wa Habari wa Idara ya habari Maelezo zanzibar Miza Kona Ngwali akitoa maoni kuhusu marekebisho ya sheria namba 5 ya mwaka 1985 hapo katika ukumbi wa Hoteli ya Bwawani Zanzibar.
0 comments:
Post a Comment