Saturday, September 28, 2013

Rais Kikwete ahutubia Umoja wa Mataifa New York

1 
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia kikao cha 68 cha Baraza kuu la Umoja wa Mataifa leo jijini New York Marekani. 2 
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja  na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban- Ki- Moon ofisini kwake. 3Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikutana na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban- Ki- Moon ofisini kwake muda mfupi kabla ya kuhutubia kikao cha 68 cha Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa jijini New

0 comments: