Saturday, December 7, 2013

AIRTEL BINGWA KUFUNGUKIA MBAGALA ZAKHIEM LEO

Young killer
Haya sasa mabingwa wote wa Airtel bingwa  kula bata pamoja wikiendi hii Mbagala. Kama wewe ni bingwa wa kusakata kabumbu na kuonyesha umahili wa kumiliki mpira njoo leo tuonyeshe jumamosi hii MBAGALA ZAKHIEM kuanzia saa sita mchana mpaka saa 12 na nusu zawadi kibao kutolewa jezi, tisheti.Wasanii watakaopanda stajini ni Ney wa Mitego, Young killer  na Vinoko shackers ,Pia wadada…
Huku tukishuhudia draw ya Mimi Bingwa watu wanavyojishindia mamilioni na ticket ya kwenda Old Trafford kuangalia live mechi za  Man United  bure. Kama haitoishi sasa screen kubwa ya ukubwa zaidi ya mita  4 itaonyesha live mchezo wa Man United na Newcastle United.
Kiingilio ni BURE.

0 comments: